fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,501
- 27,792
🤣🤣not front is in foreign country i want to leave this country madamFundi siku hizi unagonga kizungu mnooo, maandalizi ya kwenda mbele nini?? Are you plan to go front?
R.I.P bodaboda man
🤣🤣not front is in foreign country i want to leave this country madamFundi siku hizi unagonga kizungu mnooo, maandalizi ya kwenda mbele nini?? Are you plan to go front?
R.I.P bodaboda man
Umejibu nililokuuza? Ungenielewa?Acha nongwa.Mbona huwa mnadai picha hadi kuzira na kusema bila picha habari ni umbeya?
Twende msibani.Hayo yalishapita.Umejibu nililokuuza? Ungenielewa?
Ajali imetokea wapiDaaaah!!!
So sorry to him, ametawanywa vibaya sana.
Lux aeterna luceat ei, Domine, requiescat in pace (Mwanga wa Milele umwangazie eeh Bwana, Apumzike kwa Amani)
Mkuu nimekufuatilia muda mrefu umekuwa mtu wa kwanza ukiripoti habari ya ajali za basi za New Force. Inawezekana ukawa mfanyakazi wa hiyo kampuni, hiyo inakufanya upate habari kwa haraka!Basi ilo lilikua linatokea tunduma limemgonga mwendesha bodaboda na kumuua hapo hapo
Chanzo cha ajali Bado hakisomeki
Tukumbuke wiki hii LATRA wametoka kuwapa onyo la mwsho kampuni iyo lakni kabla ya wiki kuisha basi ilo limepagonga mtu
Nb::😛icha za bodaboda ngumu kutuma maana jamaa amesambaratika View attachment 2723291
View attachment 2723298
Apunguze mihemko basi aseme ajali imetokea wapi?Mkuu nimekufuatilia muda mrefu umekuwa mtu wa kwanza ukiripoti habari ya ajali za basi za New Force. Inawezekana ukawa mfanyakazi wa hiyo kampuni, hiyo inakufanya upate habari kwa haraka!