Ajali imetokea muda huu Ubena, ni MJ ya Dar- Kondoa

Ajali imetokea muda huu Ubena, ni MJ ya Dar- Kondoa

kizeze

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2012
Posts
346
Reaction score
361
kuna ajali imetokea muda uhuu hapa mbele ya Ubena,
Hilo basi nimeshindwa kulijua wala kupiga picha kwani lilikuwa mbele yetu na dereva wa gari letu akalipita bila kutoa msaada

=======
Umeniwahi,ni kweli nipo hapo sasa hivi nitarusha picha nipo kwenye gari mkuu. Basi linaitwa mj lilikuwa linaelekea kondoa. Ajali imetokea baada kuigonga baiskeri. Watu 2 wamekufa papo hapo mtoto mmoja na mkubwa mmoja. Majeruhi wamekimbizwa moro. Nimechukua clip ya wahanga na picha pia.

=======
 
elezea vzr endapo limeanguka ama limegongana na gari jingine acha papara
 
Huyo dereva wenu nae mtata, hata kusimama na kuangalia ikiwa kunahitajika msaada ...
 
kuna ajali imetokea muda uhuu hapa mbele ya Ubena,
Hilo basi nimeshindwa kulijua wala kupiga picha kwani lilikuwa mbele yetu na dereva wa gari letu akalipita bila kutoa msaada

Kijana siyo lazima uwe wa kwanza kuripoti taarifa hii ya ajali! Taarifa hii haijitoshelezi hata kidogo.
 
Duh! Kumbe wabongo tumekuwa wakatili eenh?Yaani huyo dereva wenu amejikausha kabisa kutoa msaada kwa wenzake?
 
Kijana siyo lazima uwe wa kwanza kuripoti taarifa hii ya ajali! Taarifa hii haijitoshelezi hata kidogo.

Sawa kama haijajitosheleza,ila angalau umepata kufahamu kilichotokea
 
Umeniwahi,ni kweli nipo hapo sasa hivi nitarusha picha nipo kwenye gari mkuu. Basi linaitwa mj lilikuwa linaelekea kondoa. Ajali imetokea baada kuigonga baiskeri. Watu 2 wamekufa papo hapo mtoto mmoja na mkubwa mmoja. Majeruhi wamekimbizwa moro. Nimechukua clip ya wahanga na picha pia.
 
Umeniwahi,ni kweli nipo hapo sasa hivi nitarusha picha nipo kwenye gari mkuu. Basi linaitwa mj lilikuwa linaelekea kondoa. Ajali imetokea baada kuigonga baiskeri. Watu 2 wamekufa papo hapo mtoto mmoja na mkubwa mmoja. Majeruhi wamekimbizwa moro. Nimechukua clip ya wahanga na picha pia.

Poleni sana mkuu.
Mungu awape nafuu majeruhi.
 
Hivi ni "uhuu" au "huu"

Pole sana kwa Majeruhi wa ajali
 
Poleni sana. Waendesha baiskeli na pikipiki ni mtihani kwa kweli.
 
Kijana siyo lazima uwe wa kwanza kuripoti taarifa hii ya ajali! Taarifa hii haijitoshelezi hata kidogo.

Nadhani Ujumbe sio tu hio ajali, bali kijana anatuhabarisha kumbe madereva wengine wakiwa barabarani hawatoi msaada inapotokea shida. Hili ni la kusikitisha sana! Ningekuwa mimi ningeweka kichwa tofauti cha habari chanye kuelekeza jinsi madereva wasivyojali ajali inapotokea barabarani
 
Back
Top Bottom