wakukurupuka1
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 525
- 1,182
Ajali hii imetokea muda si mrefu kwa magari haya wakati yakishindana.
Chanzo cha ajali ni basi la katarama kutaka kulipita basi la kampuni ya Libanika (Tanzanite) bila tahadhali.
Hakuna taarifa ya vifo Ila ni majeruhi kwa abiria walikatwa katwa na vipo vya basi hizi
Chanzo ni kushindana kwa madereva wa mabasi hayo.
Chanzo cha ajali ni basi la katarama kutaka kulipita basi la kampuni ya Libanika (Tanzanite) bila tahadhali.
Hakuna taarifa ya vifo Ila ni majeruhi kwa abiria walikatwa katwa na vipo vya basi hizi
Chanzo ni kushindana kwa madereva wa mabasi hayo.