Ajali: Basi kampuni ya Katarama na Libanika (Tanzanite)

Ajali: Basi kampuni ya Katarama na Libanika (Tanzanite)

Shabiby ana Sheria Kali ,ukipigwa fine unalipaa dereva tajiri hahusiki Niko Dom Mwaka wa tatu sijawahi skia ajali,nikisafiri shabiby ndo first priority then BM
Daah jamaa anajua sana aisee
 
Shindaneni madereva, hiyo ndio kazi yenu, ndio sehemu pekee mnaruhusiwa kucheza na kupata furaha
Kila mtu apate furaha sehemu yake ya kazi
 
Ajali hii imetokea muda si mrefu kwa magari haya wakati yakishindana.

Chanzo cha ajali ni basi la katarama kutaka kulipita basi la kampuni ya Libanika (Tanzanite) bila tahadhali.

Hakuna taarifa ya vifo Ila ni majeruhi kwa abiria walikatwa katwa na vipo vya basi hizi

Chanzo ni kushindana kwa madereva wa mabasi hayo.
View attachment 2678460
Hawa wapuuzi watakuwa walikuwa wanafukizana, Katarama, Ally's, Newforce sio Mabasi ya kupanda
 
Kuruhusu buses kusafiri Usiku tulisema humu ni jambo litaumiza wengi.

Uzembe barabarani utaongezeka ajali zitakuwa nyingi vifo vingi.

Taasisi husika iliangalie hili jambo kwa jicho la tatu kama sivyo tengenezeni reli watu wasafiri kwa train nukta.

Zipo coaster zinasafirisha abiria kila siku kwenda moshi, na ni miaka mingi inafanyika hii!
Hata leo ukitaka kwenda Moshi nenda Kibo ama Ubungo oil com kama upo Dar es salaam na safari zinaanza saa 10 jioni, na kuendelea!
Ulishawahi kusikia ajali mara ngapi za hayo magari wakati wa usiku?
 
Wenye mabasi wako nyumbani madreva wanakazana kuyaharibu,ndio maana owners wengi wa mabasi wana mapressure...
 
NIseme tu huyu bwana anaitwa SHABIBY nimependa sana discipline, consistency na Smartness yake kwenye biashara ya Mabasi.
Labda kwa miaka hii.Ila alishawahi kuua watu 36 milima ya Lukumburu(Njombe-Songea).Ni kumbukumbu mbaya sana kule kusini.
 
Kuruhusu buses kusafiri Usiku tulisema humu ni jambo litaumiza wengi.

Uzembe barabarani utaongezeka ajali zitakuwa nyingi vifo vingi.

Taasisi husika iliangalie hili jambo kwa jicho la tatu kama sivyo tengenezeni reli watu wasafiri kwa train nukta.
Soma tena na utaelewa chanzo cha ajali ni nini!!??
 
PITIA HAPA NA UPIGE KURA



KWA PAMOJA TUNAWEZA KUTOKOMEZA AJALI ZA BARABARANI.
 
Back
Top Bottom