mizigo mikoa yote
Member
- Dec 2, 2023
- 19
- 28
Basi ilo linaofanya safari zake Kati ya mwanza kwenda kahama limepata ajali Leo kwa kugongana uso kwa uso na gari ndogo.
Chanzo cha ajali na hali ya majeruhi watatoa wenye mamlaka husika ila mpaka sasa kuna kifo kimoja cha dereva wa gari ndogo.
Chanzo cha ajali na hali ya majeruhi watatoa wenye mamlaka husika ila mpaka sasa kuna kifo kimoja cha dereva wa gari ndogo.