Ajali basi kampuni ya Zuberi

Dec 2, 2023
19
28
Basi ilo linaofanya safari zake Kati ya mwanza kwenda kahama limepata ajali Leo kwa kugongana uso kwa uso na gari ndogo.

Chanzo cha ajali na hali ya majeruhi watatoa wenye mamlaka husika ila mpaka sasa kuna kifo kimoja cha dereva wa gari ndogo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom