Ajali: Basi kampuni ya Katarama na Libanika (Tanzanite)

Ajali: Basi kampuni ya Katarama na Libanika (Tanzanite)

Abiria wenyewe wanaweka rehani maisha yao............. 255 nahisi ni channel ya futuhi huko Mbinguni. So sad
 
Inatia hasira sana aisee.
Mungu ashanisamehe.
Pole Mkuu

Kuna rafiki yangu Mzungu, alipata shida sana kuzoea mambo yetu ya Kiswahili. Lakini baada ya kuishi miaka 3 hatimaye akazoea.

Ustaarabu ni tatizo kubwa mno

Unaweza kuta mmepanga foleni kwenye Bufee kwaajili ya chakula. Kwa kukosa Ustaarabu wale wa kwanza kwanza basi atataka nyama zote wabebe wao.

Utasema amekuja na njaa ya miezi 3
 
Abiria hawa wadanganyika au unazungumzi wepi?
Nakumbuka niliwahi kupiga kelele kukoroma kwenye bus lilikua spidi. Bahati nzuri nikapiga simu kwa wahusika bus likasimamishwa. Aisee niliungwa mkono na watu sijui wawili. Wengine wakaanza kunishambulia na kabila langu. Wengine wakaniambia ningetumia gari yangu binafsi.
Abiria ni wajng namba moja

Gari zinakimbia wao wanakaa ndani

Kama tenga za nyanya

Ova
 
Pole Mkuu

Kuna rafiki yangu Mzungu, alipata shida sana kuzoea mambo yetu ya Kiswahili. Lakini baada ya kuishi miaka 3 hatimaye akazoea.

Ustaarabu ni tatizo kubwa mno

Unaweza kuta mmepanga foleni kwenye Bufee kwaajili ya chakula. Kwa kukosa Ustaarabu wale wa kwanza kwanza basi atataka nyama zote wabebe wao.

Utasema amekuja na njaa ya miezi 3
Kuna mzee wangu tulikua tunabishana. Kuna kazi nilikua tunakua na wageni wa kizungu sasa yeye anataka tuwadanganye tufiche aibu za mambo yetu ya kitanzania. Mimi sikua nataka huo ujinga. Nilikua nawachana facts sipindishi. Wakiniuliza nasema ukweli wa mambo.

Suluhu namba moja ya tatizo ni kuliweka wazi tatizo na sio kulifichaficha.
 
Kuruhusu buses kusafiri Usiku tulisema humu ni jambo litaumiza wengi.

Uzembe barabarani utaongezeka ajali zitakuwa nyingi vifo vingi.

Taasisi husika iliangalie hili jambo kwa jicho la tatu kama sivyo tengenezeni reli watu wasafiri kwa train nukta.
Hili basi linaanza safari zake asubuhi ya saa 12 maana leseni ya kusafiri saa 9 walitolewa, hivyo ajali siyo usiku tu hata mchana, asubuhi, Jioni...
Kati ya ajali zote za bus zilizotokea nioneshe iliyotokea usiku, tusiishi kwa kukariri
 
Hiki kitengo cha polisi kinachosimamia barabara kibinafsishwe tu kwa North Korea.
 
Sasa mleta posti mbona umeleta taarifa kama vile na wewe ulikua kwenye hayo mabasi ukapata wenge! Sisi hatujui hayo mabasi yanatoka mkoa gani au yanaenda mkoa gani...usilete habari nusu nusu

Daaah sikujua bhana kumbe post yako inaendana na ID yako "Wakukurupuka" kumbe hizi IDs mara nyingi zimebeba uhalisia wa mtu...😆
 
Kuna mzee wangu tulikua tunabishana. Kuna kazi nilikua tunakua na wageni wa kizungu sasa yeye anataka tuwadanganye tufiche aibu za mambo yetu ya kitanzania. Mimi sikua nataka huo ujinga. Nilikua nawachana facts sipindishi. Wakiniuliza nasema ukweli wa mambo.

Suluhu namba moja ya tatizo ni kuliweka wazi tatizo na sio kulifichaficha.
I understand you frustration ndugu yangu. Hata mimi huwa najiuliza hivyo hivyo na imefikia wakati naamini kuwa kwenye stages za evolution sisi ngozi nyeusi bado tuko stage moja nyuma ya wazungu.
 
Wanazi wanachangia matatizo.. Dereva hasifiwi
'huu unazi ni wa ajabu sana'. Ukiwa kwenye magroup ya wanazi. Kuna post zinatembea mule za 'list ya muda wa mabus kufika kituo fulani'. Unazi ni shida.

Ila pia shida kubwa ni mamlaka za usimamizi.

ukiwa unataka toa gari stand na pili barabarani. 'njia zinafunguliwa', 'tochi zinanuliwa'.

Halafu kuna mambo mengi sisi tunayafanya kizima moto.

Kuna kipindi ilitokea ajali usiku ya hiace kugonga trekta ambalo halina taa pale didia. Wiki nzima ukawa ni hapakaliki barabarani, lakini usiku kama kawaida Unakutana na hayo matrekta taa na reflekta huwa hayana.
 
Back
Top Bottom