wakukurupuka1
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 525
- 1,187
Basi hilo kampuni ya Phoenix linalofanya safari zake kati ya Dar kwenda Mwanza limesababisha ajali wakati likijaribu kulipita gari dogo (Vanguard) bila ya tahadhari.
Ajali iyo imetokea usiku wa jana maeneo ya Maseyu ikihusisha basi hilo lililokuwa likitokea Mwanza kwenda Dar.
Hakuna madhara yoyote kwa abiria zaidi ya majeruhi kwenye gari ndogo na uharibifu wa gari hilo.
Ajali iyo imetokea usiku wa jana maeneo ya Maseyu ikihusisha basi hilo lililokuwa likitokea Mwanza kwenda Dar.
Hakuna madhara yoyote kwa abiria zaidi ya majeruhi kwenye gari ndogo na uharibifu wa gari hilo.