Aisee sio kwa vichwa vya ng'ombe hivi

Ndiyo utaratibu gani huo wenzetu wakenya wametususa.
Yaani hata hili jukwaa lao hawalitaki.
🤣🤣🤣

Kwani hii double decker electric train si ya kwetu woteee!!? Hata nyie mtapanda. Hatutawanyima.
 
Hata kama ni ya mizigo inabidi iwe presentable na iwe ina reflect value for money au hamna uchungu na hela za nchi?
Value for money inatokana na efficiency ya treni, HP, tractive force ..etc. Marekani ndo inaongoza Dunia kwa kubeba mizigo mingi kupitia reli duniani... Vichwa vyao hua ndo ugliest kabisa lakini hivyo vichwa vyao ndo most powerful zaidi!
 
Value for money inatokana na efficiency ya treni, HP, tractive force ..etc. Marekani ndo inaongoza Dunia kwa kubeba mizigo mingi kupitia reli duniani... Vichwa vyao hua ndo ugliest kabisa lakini hivyo vichwa vyao ndo most powerful zaidi!

So you want to tell us, the strength of the train depends on how it looks like!!!?

What point do you want to make?
 
Tuweke mapicha ya vitu walivyoahidi humu...kuna yule Gwajima aliahidi ataleta zake pia


hqdefault.jpg


hqdefault.jpg


hqdefault.jpg


hqdefault.jpg
Vp bado una la kusema?
JamiiForums1782937754.jpg
image_downloader_1626505426009.jpg
JamiiForums1358613677.jpg
JamiiForums800641305.jpg
 
Baada ya Watanzania kutudanganya kwa miaka nyingi kwamba wao wamenunua bullet train kama zile Shikansen za Japan, sisi Wakenya tulinyamaza tu kwa sababu tulijua kwamba hamna pesa wala uwezo wa kununua treni yenye kichwa mchongo. Sasa tulieni msibiri vichwa vya ngombe vyenu viwasili
👇 👇 👇

View attachment 1849426
Lakini vina mwendo unaohitajika?Hayo mengine baki nayo.Hiyo treni siyo mchumba kwamba sura yake itaongeza idadi ya ng'ombe wa mahari.
 
So you want to tell us, the strength of the train depends on how it looks like!!!?

What point do you want to make?
Mbona unashindwa kuelewa vitu simple. I am saying that it doesn't matter how a train looks like, what matters is it's performance. And as for the case of passenger trains what matters is on the inside, sura ya nje ni kufurahisha watu tu kama wewe tu... Ni kama vile uniulize tofauti ya ndege kubwa ya Boeing na ya Airbus
 
Back
Top Bottom