Hata kama ni ya mizigo inabidi iwe presentable na iwe ina reflect value for money au hamna uchungu na hela za nchi?Hii ni picha ya treni ya mizigo Kenya. Sio ya Abiria!
Hata kama ni ya mizigo inabidi iwe presentable na iwe ina reflect value for money au hamna uchungu na hela za nchi?Hii ni picha ya treni ya mizigo Kenya. Sio ya Abiria!
🤣 🤣 🤣🤣 Nakuona nakuona Accountant. Vipi Cash flow zinasemaje!?Zenu za mizigo pia ni sura mbaya. Zina sura ya ng'ombe.
Kijana mbona "umesusa uzi wako"
hahaha treni macho ya panzi
Thibitisha kauli yakoZenu za mizigo pia ni sura mbaya. Zina sura ya ng'ombe.
Ni kweli maana ni east african double decker electric sgr train.Ndiyo utaratibu gani huo wenzetu wakenya wametususa.
Yaani hata hili jukwaa lao hawalitaki.
Kwani hii double decker electric train si ya kwetu woteee!!? Hata nyie mtapanda. Hatutawanyima.
Value for money inatokana na efficiency ya treni, HP, tractive force ..etc. Marekani ndo inaongoza Dunia kwa kubeba mizigo mingi kupitia reli duniani... Vichwa vyao hua ndo ugliest kabisa lakini hivyo vichwa vyao ndo most powerful zaidi!Hata kama ni ya mizigo inabidi iwe presentable na iwe ina reflect value for money au hamna uchungu na hela za nchi?
Yaani Yesu amekuwa mtalii kunyaland?Google Jesus visit in Kenya
Value for money inatokana na efficiency ya treni, HP, tractive force ..etc. Marekani ndo inaongoza Dunia kwa kubeba mizigo mingi kupitia reli duniani... Vichwa vyao hua ndo ugliest kabisa lakini hivyo vichwa vyao ndo most powerful zaidi!
Tuweke mapicha ya vitu walivyoahidi humu...kuna yule Gwajima aliahidi ataleta zake pia
Vp bado una la kusema?
Lakini vina mwendo unaohitajika?Hayo mengine baki nayo.Hiyo treni siyo mchumba kwamba sura yake itaongeza idadi ya ng'ombe wa mahari.Baada ya Watanzania kutudanganya kwa miaka nyingi kwamba wao wamenunua bullet train kama zile Shikansen za Japan, sisi Wakenya tulinyamaza tu kwa sababu tulijua kwamba hamna pesa wala uwezo wa kununua treni yenye kichwa mchongo. Sasa tulieni msibiri vichwa vya ngombe vyenu viwasili
👇 👇 👇
View attachment 1849426
Mbona unashindwa kuelewa vitu simple. I am saying that it doesn't matter how a train looks like, what matters is it's performance. And as for the case of passenger trains what matters is on the inside, sura ya nje ni kufurahisha watu tu kama wewe tu... Ni kama vile uniulize tofauti ya ndege kubwa ya Boeing na ya AirbusSo you want to tell us, the strength of the train depends on how it looks like!!!?
What point do you want to make?
hiyo ya juu ni kichwa cha chatu kabisa.....
Bullet train vs bichwa la kondoo View attachment 1857089View attachment 1857090
Yah hilo ni electric Python.hiyo ya juu ni kichwa cha chatu kabisa.....