Kwa miaka 8 tumetumia Trilioni 27 kwenye SGR na ATCL tu. Hii nchi umaskini tunajitakia wenyewe kuwa na vipaumbele vya ovyo

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,042
49,726
Kusema ukweli kama unafikiria kiuchumi na kimkakati huwezi fanya maamuzi ya kuchagua vipaombele kama hivyo ambavyo Kwa maoni yangu ni vipaombele vya hovyo kabisa.

Kwamba Tumetukia Trilioni 3.6 Kwa Ajili ya kununua ndege 15 Kwa kile kinachoitwa kufufua Shirika la ATCL.Pesa hii inaweza kuongezeka zaidi.

Pili tumetumia Trilioni 23.3 Kwa Ajili ya ujenzi wa Sgr,vichwa vya treni na mabehewa yake lakini hadi Sasa hakuna kinacholeta faida na Wala faida haitokaa ije Kwa sababu tumejenga Kwa kubahatisha tukitegemea eti faida itakuja baadae.

Ukiacha kwamba ni miradi ya kupigia picha ila Haina impacts yeyote ya maana inayoweza kuondoa umaskini Kwa watu ila bahati mbaya hatuna watu wenye akili wanaoweza kufikiria na kuona hasara ambayo Nchi imeingia.

Ukweli ni kwamba ukilinganisha tulichopata na ambacho tungepata ni kama Tumepigwa na tumepata hasara kubwa sana kama Taifa.Hizo Trilioni 27 Kwa pamoja zingeweza kufanya mambo makubwa yafuatayo.

1.Kufungua Barabara Mpya za lami Nchi nzima zaidi ya km 10,000.=10.0T

2.Kupata Uhakika wa Umeme Kwa zaidi ya megawatt 5,000=6T

3.Kupeleka Maji ya uhakika Kila Kijiji na Kila Mji Tanzania nzima (Water Grid)=2.5T

4.Kuanzisha Mashamba Makubwa ya Kilimo Cha Umwagiliaji=1.5T

5.Kujenga Kituo Cha Afya Kila Kata,Zahanati Kila Kijiji na Hospital Kila Wilaya,Mkoa na Kanda.=1.5T

6.Kujenga Miundombinu ya Shule kuanzia za awali Hadi Vyuo Vikuu Kila Mkoa.=1.5T

7.Kufanya Upanuzi wa Bandari zote kubwa za Bahari na Maziwa Pamoja na Kununua Meli=2.5T

8.Ku upgrade reli ya Kati kutoka meter Gage na kuwa Cape kama ya TAZARA.=1.5T

Swali.
Hivi kweli hizo Trilioni 27 Zingetumika kwenye Maeneo hayo hapo Juu Nchi ingekuwa hivi ilivyo saizi na umaskini huu?
Screenshot_20240326-113856.jpg


My Take
Tunaangamia Kwa kukosa Akili na Maarifa.Tutaendelea kuwa Maskini Kwa sababu ya Maamuzi ya hovyo na vipaombele vya Maonesho kama hivyo.

Inauma Sana ,hapo ndio kwanza Sgr Bado haijafika Kigoma Wala Mwanza,Hadi inatoboa huko pesa inaweza kufika Trilioni 35 au zaidi.

View: https://www.instagram.com/reel/C48biH-u8Wq/?igsh=a3FsNG9pM202Y2w3

Pia Soma Serikali imetumia Trilioni 3 Kununua Ndege 13 Badala ya Kujenga km 3,000 za Lami.Je Tanzania tumenyimwa akili au Tumerogwa?
 
Msiamaini waandishi,, budget ya shairika la ndege wakati magufuria anaoanondoka laikuwa amespend trillion 1.1 kwa ajili ya ndege 11 amabazo zipo ,je hiiz trillion 2 za ziada zimenununua ndege Gani?
Sio tusiamini wao ndio wametoa hizo takwimu na mchanganuo wa walichofanya.

Mambo kama haya sio sawa,tutaendelea kuwa maskini Kwa kukosa Akili
 
Hivi ni vipaumbele vya wanene...ill michuzi inone.
Hivi hata Wapinzani Huwa hawaoni hizi hoja kuja na kitu mbadala na kuonesha jinsi tumepata hasara?

Uwekezaji wa hivi hauwezi kuondoa umaskini na Huwa unafanyika.Nchi ikishapiga hatua kubwa sio ikiwa maskini kama Tanzania.
 
Kusema ukweli kama unafikiria kiuchumi na kimkakati huwezi fanya maamuzi ya kuchagua vipaombele kama hivyo ambavyo Kwa maoni yangu ni vipaombele vya hovyo kabisa.

Kwamba Tumetukia Trilioni 3.6 Kwa Ajili ya kununua ndege 14 Kwa kile kinachoitwa kufufua Shirika la ATCL.

Pili tumetumia Trilioni 23.3 Kwa Ajili ya ujenzi wa Sgr,vichwa vya treni na mabehewa yake lakini hadi Sasa hakuna kinacholeta faida na Wala faida haitokaa ije Kwa sababu tumejenga Kwa kubahatisha tukitegemea eti faida itakuja baadae.

Ukiacha kwamba ni miradi ya kupigia picha ila Haina impacts yeyote ya maana inayoweza kuondoa umaskini Kwa watu ila bahati mbaya hatuna watu wenye akili wanaoweza kufikiria na kuona hasara ambayo Nchi imeingia.

Ukweli ni kwamba ukilinganisha tulichopata na ambacho tungepata ni kama Tumepigwa na tumepata hasara kubwa sana kama Taifa.Hizo Trilioni 27 Kwa pamoja zingeweza kufanya mambo makubwa yafuatayo.

1.Kufungua Barabara Mpya za lami Nchi nzima zaidi ya km 10,000.

2.Kupata Uhakika wa Umeme Kwa zaidi ya megawatt 5,000

3.Kupeleka Maji ya uhakika Kila Kijiji na Kila Mji Tanzania nzima (Water Grid)

4.Kuanzisha Mashamba Makubwa ya Kilimo Cha Umwagiliaji

5.Kujenga Kituo Cha Afya Kila Kata,Zahanati Kila Kijiji na Hospital Kila Wilaya,Mkoa na Kanda.

6.Kujenga Miundombinu ya Shule kuanzia za awali Hadi Vyuo Vikuu Kila Mkoa.

7.Kufabya Upanuzi wa Bandari zote kubwa za Bahari na Maziwa.

8.Ku upgrade reli ya Kati kutoka meter Gage na kuwa na Standard kama ya TAZARA.

Swali.
Hivi kweli hizo Trilioni 27 Zingetumika kwenye Maeneo hayo hapo Juu Nchi ingekuwa hivi ilivyo saizi na umaskini huu?
View attachment 2944975

My Take
Tunaangamia Kwa kukosa Akili na Maarifa.Tutaendelea kuwa Maskini Kwa sababu ya Maamuzi ya hovyo na vipaombele vya Maonesho kama hivyo.

Inauma Sana ,hapo ndio kwanza Sgr Bado haijafika Kigoma Wala Mwanza,Hadi inatoboa huko pesa inaweza kufika Trilioni 35 au zaidi.

View: https://www.instagram.com/reel/C48biH-u8Wq/?igsh=a3FsNG9pM202Y2w3

Pia Soma Serikali imetumia Trilioni 3 Kununua Ndege 13 Badala ya Kujenga km 3,000 za Lami.Je Tanzania tumenyimwa akili au Tumerogwa?

Hakuna kipaumbele cha hovyo kama kulazimisha Taasisi zote za Serikali kujenga majengo mapya Dodoma.

Hela zinazomwagwa pale ndo mana waafrika tunaonekana hatuna akili.

Kama Serikali inaamia Dodoma ilitakiwa Wizara tu ndo zijengwe Dodoma ila kulazimisha taasisi zote kujenga Dodoma ni wehu uliotukuka ukizingatia sidhani kama hata yale majengo yanatengwa vizuri na kama yana ubora wa kudumu kwa muda mrefu
 
Kusema ukweli kama unafikiria kiuchumi na kimkakati huwezi fanya maamuzi ya kuchagua vipaombele kama hivyo ambavyo Kwa maoni yangu ni vipaombele vya hovyo kabisa.

Kwamba Tumetukia Trilioni 3.6 Kwa Ajili ya kununua ndege 14 Kwa kile kinachoitwa kufufua Shirika la ATCL.

Pili tumetumia Trilioni 23.3 Kwa Ajili ya ujenzi wa Sgr,vichwa vya treni na mabehewa yake lakini hadi Sasa hakuna kinacholeta faida na Wala faida haitokaa ije Kwa sababu tumejenga Kwa kubahatisha tukitegemea eti faida itakuja baadae.

Ukiacha kwamba ni miradi ya kupigia picha ila Haina impacts yeyote ya maana inayoweza kuondoa umaskini Kwa watu ila bahati mbaya hatuna watu wenye akili wanaoweza kufikiria na kuona hasara ambayo Nchi imeingia.

Ukweli ni kwamba ukilinganisha tulichopata na ambacho tungepata ni kama Tumepigwa na tumepata hasara kubwa sana kama Taifa.Hizo Trilioni 27 Kwa pamoja zingeweza kufanya mambo makubwa yafuatayo.

1.Kufungua Barabara Mpya za lami Nchi nzima zaidi ya km 10,000.

2.Kupata Uhakika wa Umeme Kwa zaidi ya megawatt 5,000

3.Kupeleka Maji ya uhakika Kila Kijiji na Kila Mji Tanzania nzima (Water Grid)

4.Kuanzisha Mashamba Makubwa ya Kilimo Cha Umwagiliaji

5.Kujenga Kituo Cha Afya Kila Kata,Zahanati Kila Kijiji na Hospital Kila Wilaya,Mkoa na Kanda.

6.Kujenga Miundombinu ya Shule kuanzia za awali Hadi Vyuo Vikuu Kila Mkoa.

7.Kufabya Upanuzi wa Bandari zote kubwa za Bahari na Maziwa.

8.Ku upgrade reli ya Kati kutoka meter Gage na kuwa na Standard kama ya TAZARA.

Swali.
Hivi kweli hizo Trilioni 27 Zingetumika kwenye Maeneo hayo hapo Juu Nchi ingekuwa hivi ilivyo saizi na umaskini huu?
View attachment 2944975

My Take
Tunaangamia Kwa kukosa Akili na Maarifa.Tutaendelea kuwa Maskini Kwa sababu ya Maamuzi ya hovyo na vipaombele vya Maonesho kama hivyo.

Inauma Sana ,hapo ndio kwanza Sgr Bado haijafika Kigoma Wala Mwanza,Hadi inatoboa huko pesa inaweza kufika Trilioni 35 au zaidi.

View: https://www.instagram.com/reel/C48biH-u8Wq/?igsh=a3FsNG9pM202Y2w3

Pia Soma Serikali imetumia Trilioni 3 Kununua Ndege 13 Badala ya Kujenga km 3,000 za Lami.Je Tanzania tumenyimwa akili au Tumerogwa?

Reli ya TAZARA ni Cape gauge sio standard gauge.
Jua kutofautisha kati ya cape gauge na standard gauge.
Reli ya kati ikipigwa continous welded inatosha kuwa imara na yenye ufanisi.
 
Reli ya TAZARA ni Cape gauge sio standard gauge.
Jua kutofautisha kati ya cape gauge na standard gauge.
Reli ya kati ikipigwa continous welded inatosha kuwa imara na yenye ufanisi.
Wapi nilipoandika iwe standard gauge? Acha ujinga.

Kama huna somo la logic , critical thinking na economics usiwe unanibishia wakati akili zako zimekariri formula
 
Hakuna kipaumbele cha hovyo kama kulazimisha Taasisi zote za Serikali kujenga majengo mapya Dodoma.

Hela zinazomwagwa pale ndo mana waafrika tunaonekana hatuna akili.

Kama Serikali inaamia Dodoma ilitakiwa Wizara tu ndo zijengwe Dodoma ila kulazimisha taasisi zote kujenga Dodoma ni wehu uliotukuka ukizingatia sidhani kama hata yale majengo yanatengwa vizuri na kama yana ubora wa kudumu kwa muda mrefu
Vyote hivyo ni muendelezo wa mambo mengi ya hovyo ambayo yanafangika na wanaojiita Wasomi na Viongozi wa Nchi hii.

Hapo nimetaji maeneo 2 tuu sijagusa kwingine.
 
Metre gauge mbona iko poa tu?
Ila inatakiwa iboreshwe kuwa continous welded ili iwe na ufanisi wa kuiterezesha treni.
Labda ungesema tuweke broadway gauge ila sio cape gauge.
Kiuchumi justification ya Trilioni 27 Kwa hicho kilichofanyika ni hasara ya Karne.

Somo la Uchumi linatakiwa kuwa compulsory Vyuoni maana linawasaidia Viongozi kufanya maamuzi ya matumizi sahihi ya Rasilimali vinginevyo tutaendelea kuamua Kwa hisia,siasa na mapicha picha ila maisha yatazidi kuwa mabaya Kwa watu wengi.
 
Kusema ukweli kama unafikiria kiuchumi na kimkakati huwezi fanya maamuzi ya kuchagua vipaombele kama hivyo ambavyo Kwa maoni yangu ni vipaombele vya hovyo kabisa.

Kwamba Tumetukia Trilioni 3.6 Kwa Ajili ya kununua ndege 14 Kwa kile kinachoitwa kufufua Shirika la ATCL.

Pili tumetumia Trilioni 23.3 Kwa Ajili ya ujenzi wa Sgr,vichwa vya treni na mabehewa yake lakini hadi Sasa hakuna kinacholeta faida na Wala faida haitokaa ije Kwa sababu tumejenga Kwa kubahatisha tukitegemea eti faida itakuja baadae.

Ukiacha kwamba ni miradi ya kupigia picha ila Haina impacts yeyote ya maana inayoweza kuondoa umaskini Kwa watu ila bahati mbaya hatuna watu wenye akili wanaoweza kufikiria na kuona hasara ambayo Nchi imeingia.

Ukweli ni kwamba ukilinganisha tulichopata na ambacho tungepata ni kama Tumepigwa na tumepata hasara kubwa sana kama Taifa.Hizo Trilioni 27 Kwa pamoja zingeweza kufanya mambo makubwa yafuatayo.

1.Kufungua Barabara Mpya za lami Nchi nzima zaidi ya km 10,000.

2.Kupata Uhakika wa Umeme Kwa zaidi ya megawatt 5,000

3.Kupeleka Maji ya uhakika Kila Kijiji na Kila Mji Tanzania nzima (Water Grid)

4.Kuanzisha Mashamba Makubwa ya Kilimo Cha Umwagiliaji

5.Kujenga Kituo Cha Afya Kila Kata,Zahanati Kila Kijiji na Hospital Kila Wilaya,Mkoa na Kanda.

6.Kujenga Miundombinu ya Shule kuanzia za awali Hadi Vyuo Vikuu Kila Mkoa.

7.Kufabya Upanuzi wa Bandari zote kubwa za Bahari na Maziwa.

8.Ku upgrade reli ya Kati kutoka meter Gage na kuwa Cape kama ya TAZARA.

Swali.
Hivi kweli hizo Trilioni 27 Zingetumika kwenye Maeneo hayo hapo Juu Nchi ingekuwa hivi ilivyo saizi na umaskini huu?
View attachment 2944975

My Take
Tunaangamia Kwa kukosa Akili na Maarifa.Tutaendelea kuwa Maskini Kwa sababu ya Maamuzi ya hovyo na vipaombele vya Maonesho kama hivyo.

Inauma Sana ,hapo ndio kwanza Sgr Bado haijafika Kigoma Wala Mwanza,Hadi inatoboa huko pesa inaweza kufika Trilioni 35 au zaidi.

View: https://www.instagram.com/reel/C48biH-u8Wq/?igsh=a3FsNG9pM202Y2w3

Pia Soma Serikali imetumia Trilioni 3 Kununua Ndege 13 Badala ya Kujenga km 3,000 za Lami.Je Tanzania tumenyimwa akili au Tumerogwa?

Unasema hizo Trilioni zinget9sha kuendesha kuendesha hiyo miradi yote uliyoitaja...?
1.Tafadhali weka gharama ya jumla ya kila mradi uliotaja hapo juu.

Ndipo mjadala unoge,bila hivyo hiyo nayo inakuwa siasa yenye kupanda kuliko kujenga.

2.Je,ulitaka mradi wa SGR uanze kurejesha faida wakati bado hata hauja kamilika...?

3.Je , Una ushahidi wa takwimu wa kuonesha SGR haitokuwa na faida...?

Gharama ya SGR inaonekana kubwa kwasababu ya exchange rate ya shilingi dhidi ya dola,
 
Back
Top Bottom