Kikuyu Wana wivu sanaWewe hii ndio kizungu pekee unayojua. Baada ya hayo maneno mawili utaanza kukula ulimi.
tukubali tu tanzania raundi hii tumepigwa black and blue. jirani zetu wakenya watatucheka saana sijui tutaficha wapi nyuso zetu. ni aibu sana hata kumeza mate nimeshindwaKenya wana wivu wa Kike.
Kila cha Tz wao ni kukodoa macho tuu..wasochoweza kuiba wanabaki kupiga domo tuu.
Weka picha ya kwenu tuone
Baada ya Watanzania kutudanganya kwa miaka nyingi kwamba wao wamenunua bullet train kama zile Shikansen za Japan, sisi Wakenya tulinyamaza tu kwa sababu tulijua kwamba hamna pesa wala uwezo wa kununua treni yenye kichwa mchongo. Sasa tulieni msibiri vichwa vya ngombe vyenu viwasili
👇 👇 👇
View attachment 1849426
Hii ndio ya kwao?
Akheri you, upogi smart.mi nitanyamaza hadi pale treni zao zitashukishwa Dar port. Hapo ndo nitatoa maoni yangu
Only in Kenya....hawa ndugu zetu sijuwi wanaona nini kwa mzungu...yaani anaweza kujitokeza Mzungu yeyote na kuwadanganya yeye ni Mungu, basi wakenya wote watam-follow bila hata kujiuliza. Look at their judges for example, eti mpaka leo 2021 wanavaa Wigs za "White Man hair." Hivi, in Kenya one cannot become a judge mpaka avae wigs za Mzungu showing White supremacy? Very stupid indeed, mnatia aibu.Wewe ni mtumwa wa fikra, hadi leo mnatutia aibu Waafrika, maana juzijuzi mlimpokea Yesu, mkaenda kumpigia na magoti. Kisa tu Ni mzungu.
View attachment 1849494
View attachment 1849491
Haswaa mkuu,1896 chinese charcoal locomotive 😆😆😆Hii ndio ya kwao?
Hahahaa mkorofi weweHaswaa mkuu,1896 chinese charcoal locomotive
Linganisha na ile tukutuku yenu sasaBaada ya Watanzania kutudanganya kwa miaka nyingi kwamba wao wamenunua bullet train kama zile Shikansen za Japan, sisi Wakenya tulinyamaza tu kwa sababu tulijua kwamba hamna pesa wala uwezo wa kununua treni yenye kichwa mchongo. Sasa tulieni msibiri vichwa vya ngombe vyenu viwasili
View attachment 1849426
Buji naomba link nisome mwenyeweWewe ni mtumwa wa fikra, hadi leo mnatutia aibu Waafrika, maana juzijuzi mlimpokea Yesu, mkaenda kumpigia na magoti. Kisa tu Ni mzungu.
View attachment 1849494
View attachment 1849491
Buji naomba link nisome mwenyewe
huyu dogo anatakiwa arudi shule manake shule za secondary wamefungua, sasa chagua wewe tuchukue vichwa vya chatu au vya ng'ombe?Wenzenu wanatokwa na mapovu huku
Rais Samia, nani kakushauri kununua Treni zenye muundo mbovu namna hii?
Kusema kweli leo nimesikitika sana kuona aina ya muundo wa treni ambayo serikali yetu imeweka mkataba na kampuni ya Hyundai-Rotem ni treni zenye mwonekano wa ki-Hitler! Mimi nilifikiri tunaondokana na treni zenye muundo wa kutisha za enzi za George and Robert Stephenson na kuingia kwenye era ya...www.jamiiforums.com
Hii ni picha ya treni ya mizigo Kenya. Sio ya Abiria!
We kajamaa ni kaongo na tapeli balaaWamepiga hela.Zilitengwa hela za vichwa mchongo ila wamepiga hela wakanunua hizo Ng'ombe.
Haya weka ya abiria tuone😆😆😆Hii ni picha ya treni ya mizigo Kenya. Sio ya Abiria!