Alexido jz instagram
JF-Expert Member
- May 5, 2026
- 2,311
- 5,634
Fanya hivo japo najua ni chai hiiBasi nitamshugulikia ipasavyoo
Fanya hivo japo najua ni chai hiiBasi nitamshugulikia ipasavyoo
Sio vizingiti tunalipa Tu MwongozoHebu msinipe vizingiti hii nyama laini lazima itafwunwe t
Nasikia ana mgahawa kama wa shishi foodItakuwa
Lini mnafungua shule?Kuna dada wa mgahawa X huwa anapenda sana kunichangamkia ila jana ndo nilijua ya kuwa ameshindlia wezele.. Aisee ana mkia, her butty is on another level...
Jana kavaa dera flani hivi matata, alaf akawa akiingia ndani kuhudumia watu anakuwa ananitupia jicho fulani hivi then lile dera analivuta kwa mbele makusudi, aisee tako wazi wazi...,alaf nilivyomaliza kula na kumpa cash akaniambia "utanila lini na mimi si huwa mnasema mnakula mpaka mpishi?" nilidinda bila kupenda..
Ndugu zangu sisi wanaume tunapitia mengi sana... Wanawake wa namna ile huwa wanajua weakness zetu kwa kweli, nilisha apa kabisa kula wanawake wa mgahawani Hapana kwa kweli, ila huyu nahisi nitaingia dhambini.
Sasa kama wewe ni JITU BANDIA sio bure kuwaza hivyoLini mnafungua shule?
Oyaa Joanah ni pisi ya kishua hiyoo kaa kizembe sasa
Nani kwani? Sijasoma uziNasikia ana mgahawa kama wa shishi food
Huyu si bichwa komwe😁
Yakupasa uishinde dhambi hiyo!Kuna dada wa mgahawa X huwa anapenda sana kunichangamkia ila jana ndo nilijua ya kuwa ameshindlia wezele.. Aisee ana mkia, her butty is on another level...
Jana kavaa dera flani hivi matata, alaf akawa akiingia ndani kuhudumia watu anakuwa ananitupia jicho fulani hivi then lile dera analivuta kwa mbele makusudi, aisee tako wazi wazi...,alaf nilivyomaliza kula na kumpa cash akaniambia "utanila lini na mimi si huwa mnasema mnakula mpaka mpishi?" nilidinda bila kupenda..
Ndugu zangu sisi wanaume tunapitia mengi sana... Wanawake wa namna ile huwa wanajua weakness zetu kwa kweli, nilisha apa kabisa kula wanawake wa mgahawani Hapana kwa kweli, ila huyu nahisi nitaingia dhambini.
Mnani changanya mdau kadai yule ni mnyamwezi sio demu dahSi na yeye analo. Pisi kali sana yule
Kebo la kike laini linanesanesa, kebo la kike zuri lafaa kupakwa futa, na kuliwa pamoja na kisamvu kwa kutumia mhogo wa jang'ombe BICHWA KOMWE - DIVISHENI FOO Mbaga Jr BolotobaBlaza siku hizi umekuwa muamasishaji mzuri sana😆 hasa kwenye eneo la makebo laini.