Aisee huyu dada wa Mgahawa amezidi sasa

Aisee huyu dada wa Mgahawa amezidi sasa

Na uzoefu ameshindilia yule, huoni viatu vya mazoezi kwa profile hapo?
Ona sasa mambo hayaendi hivoo, umeni angusha siku NYINGINE kama huna uhakika usiseme bro dunia sio rafiki now days, ila huyo tutakulana tu hivi unajua ananipenda sana basi tu nadhani hua anani ota, unajua Kwa Nini ananipenda sana?
 
Ona sasa mambo hayaendi hivoo, umeni angusha siku NYINGINE kama huna uhakika usiseme bro dunia sio rafiki now days, ila huyo tutakulana tu hivi unajua ananipenda sana basi tu nadhani hua anani ota, unajua Kwa Nini ananipenda sana?
Duuh
Kwa nini
 
Basi na mm naenda kwaajili ya mzigo aliobeba napiga then tu angalia tunasaidanje wote as long as nikipeenda burudani yake
Ukisikia mnaitiwa fursa sehemu, ujue wewe mwenyewe ndiyo fursa 😅

Linda wallet yako Mkuu
 
Ukisikia mnaitiwa fursa sehemu, ujue wewe mwenyewe ndiyo fursa 😅

Linda wallet yako Mkuu
Kati ya ambassador wazuri wa kupinga matapeli ni mimi... Ila kwa huyu mwili na hisia vimeshindwa kujizuia

Wanasema hata mwana jeshi anaipigia saluti.. 😂
 
Kati ya ambassador wazuri wa kupinga matapeli ni mimi... Ila kwa huyu mwili na hisia vimeshindwa kujizuia

Wanasema hata mwana jeshi anaipigia sauti.. 😂
Kila la heri Mkuu

Formula ni ile Ile, ukitaka kuhonga 100 basi hakikisha unabaki na 10,000 😎
 
Duuh
Kwa nini
Bhana EEH nili wekaga picha yangu ya kitambo nikiwa na mtoto mkali enzi hizo nammiliki Mimi, kumbuka sikumtarget yeye mi nilikua na mambo yangu, cha kushangaza, akawaka eti akadai kwanini nimpost yule demu hapa ilihali hajaniruhusu,

Sasa Mimi nikajiuliza huyu nilimpost hata hamjui kwanini yeye pekee ephen ndo aumie, mbona member wengine hawakuumia? Muda si mrefu mods wakafuta picha nikagundua ephen hakufurahishwa na Hilo jambo, sasa hakufurahishwa kama nani? Nikagundua wivu roho ilimuuma kwanini nisi mpost yeye nimpost huyu demu mwingine akasahau mi Sina picha zake ninge kua nazo ninge mpost asee, ilikua vita tulitukanana mpaka matusi ya nguoni, nikashituliwa kwamba huyu demu anakupenda sana jiongeze mkuu.
 
Duuh
Kwa nini
Bhana EEH nili wekaga picha yangu ya kitambo nikiwa na mtoto mkali enzi hizo nammiliki Mimi, kumbuka sikumtarget yeye mi nilikua na mambo yangu, cha kushangaza, akawaka eti akadai kwanini nimpost yule demu hapa ilihali hajaniruhusu,

Sasa Mimi nikajiuliza huyu nilimpost hata hamjui kwanini yeye pekee ephen ndo aumie, mbona member wengine hawakuumia? Muda si mrefu mods wakafuta picha nikagundua ephen hakufurahishwa na Hilo jambo, sasa hakufurahishwa kama nani? Nikagundua wivu roho ilimuuma kwanini nisi mpost yeye nimpost huyu demu mwingine akasahau mi Sina picha zake ninge kua nazo ninge mpost asee, ilikua vita tulitukanana mpaka matusi ya nguoni, nikashituliwa kwamba huyu demu anakupenda sana jiongeze mkuu
 
Kwa hiyo unaenda kumla lini?
Au unataka kuendelea kula bila kulipa?
Leo nampanga kesho namtoa out tutazama smart lodge nikamzagaamue..
Yafuatayo tajua yeye mimi nia yangu nitafune lile wezele
 
Bhana EEH nili wekaga picha yangu ya kitambo nikiwa na mtoto mkali enzi hizo nammiliki Mimi, kumbuka sikumtarget yeye mi nilikua na mambo yangu, cha kushangaza, akawaka eti akadai kwanini nimpost yule demu hapa ilihali hajaniruhusu,

Sasa Mimi nikajiuliza huyu nilimpost hata hamjui kwanini yeye pekee ephen ndo aumie, mbona member wengine hawakuumia? Muda si mrefu mods wakafuta picha nikagundua ephen hakufurahishwa na Hilo jambo, sasa hakufurahishwa kama nani? Nikagundua wivu roho ilimuuma kwanini nisi mpost yeye nimpost huyu demu mwingine akasahau mi Sina picha zake ninge kua nazo ninge mpost asee, ilikua vita tulitukanana mpaka matusi ya nguoni, nikashituliwa kwamba huyu demu anakupenda sana jiongeze mkuu.
Hahahaha kumbe ephen_ uchokozi haja anza jana wala leo daah basi huyo mali yako mkomalie tuu
 
Kaka, kondomu inaweza kupunguza baadhi ya hatari za kiafya, lakini haiwezi kufanya jambo ambalo unaamini ni dhambi liwe sawa mbele za Mungu. Kama unaamini Neno la Mungu, basi usiongozwe na tamaa ya muda mfupi. Biblia inatukumbusha: "Ikimbieni zinaa." (1 Wakorintho 6:18). Mara nyingi dhambi huanza kwa majaribu madogo kabla ya kugeuka majuto makubwa.


Usimwangalie mtu kama fursa ya kutimiza tamaa, bali mheshimu kama binadamu mwenye thamani. Ukiweza kujizuia leo, utakuwa umeonyesha ushindi dhidi ya tamaa na utiifu kwa Mungu. Omba nguvu, epuka mazingira yanayokupeleka kwenye majaribu, na simama kwenye maamuzi yako. Amani ya dhamiri na uhusiano mzuri na Mungu vina thamani kuliko raha ya muda mfupi.
 
WhatsApp Image 2026-07-29 at 06.35.35.jpeg
 
Back
Top Bottom