ABiClever Junior
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 948
- 548
- Thread starter
- #81
Mama mdogoOdo ndio nini?
Mama mdogoOdo ndio nini?
Wallahi huo ni uchokozi sasa kwani ulishindwa kukaa kimya mpaka uvunje amani ya mleta Uzi. [emoji23]mleta uzi you sound gaysh
Wallahi huo ni uchokozi sasa kwani ulishindwa kukaa kimya mpaka uvunje amani ya mwenzio. [emoji23]mleta uzi you sound gaysh
Achana nae. maisha yangu yanaendeleaWallahi huo ni uchokozi sasa kwani ulishindwa kukaa kimya mpaka uvunje amani ya mwenzio. [emoji23]
Mkuu ni kwa7b nilitaka usome haraka haraka kisha uchangiemkuu uliandika ukiwa na haraka, kaa andika tena uzi vizuri
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tuko wengi nilozan labda mm ndo tatizo kwamba celewi bhana weee!!!! C nikaanza kupita na comments aisee [emoji23] [emoji23] [emoji23] sanaMkuu ngoja nikae nitulie nisome tena na tena nitakuja kukupa ushauri, kwa maana kila nikisoma naona sielewi.
Aisee kweli kazi ipoo[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ngoja nikadoee pilau kwanza.
Aisee Luna vitu vinafutahisha sana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaha,nimesoma kidogo tu nkaona sielewi ikabidi ntumie plan B nisome comments labda ntapata kitu kumbe wengi hawajamuelewa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sina neno kwenye hii comentww fala kweli ulikuwa unaweza kuandika insha? sasa madem unatongozaje km hata kujieleza huwezi....umekaza mwanzo mwisho odo..odo..atakuwa "chichidodo"
Ha ha ha kauzi aka kwa kweli ni hatari kwa Uzi huu kwa kweli unaweza toka mweupe kabisa kama mmOdo yangu...odo yangu....odo yangu...teheteheteheteheeeee
Nenda kwa makondaKuna mwanamke ni odo(ma mdogo) yangu siku mbili nyuma kabla sijapost hii aligombana na mtoto wa mumewe ambaye ni mtu mzima na ana mke wake ila wanaishi nyumba moja wote. ambayo nyumba hiyo anaishi odo yangu na mume wake pamoja na mtoto wa mume wa odo yangu na mkewe.
baada ya odo yangu kugombana na mtoto wa mumewe kisa mtoto wa mumewe alimwambia kuwa amevunjiwa mlango na hapo nyumban huwa anabaki odo yangu tu hiyo ndio sababu ugomvi ukaanza hapo.
usiku akamuambia mume wake kuwa mtoto wa mume wake ni mkorofi kwahiyo awezi kuishi naye pamoja kwahiyo akaamua kumwambia mumewe achague kati ya mtoto wake au yeye mmoja aondoke na kabla ya hiyo siku nyuma waligombana na huyo mtoto wa mume mpaka kufikia kupigana na mwisho pia alitaka huyo mtoto afukuzwe ila huyo kijana hakufukuzwa na hatimaye huyo kijana akapata mtoto wa kike na akaamua kujipendekeza na kuamua mtoto kumuita jina la odo yangu ila haija saidia ugomvi hauishi.
je huy odo yupo sahihi kwa maamuzi hayo wakati huyo mtoto ndio ana stahili kurithi hiyo nyumba?