Aisee hivi huyu mke ni mzuri?

Aisee hivi huyu mke ni mzuri?

Taratibu unahema sana...

Mama yako mdogo ana mume...

Mume wake ana mtoto wa kiume mkubwa... ambae wanaishi wote nyumba moja...

Huyo mtoto wa kambo mkubwa nae ana mke, lakini wote wanishi hapo hapo...

Kwa hiyo hapo kuna mama yako mdogo, mume wake, mtoto wa mume wake (kwa mama mdogo ni wa kambo) na familia ya mtoto wa kambo (mtoto wa mume wa mama mdogo)

Huyo mtoto wa kiume tayari anafamilia yake, anakaa hapo kufanya nini... ahame.. mambo ya kurithi ni mpaka wazazi wafariki...


Cc: mahondaw
 
Odo(mama mdogo) ananyemela nyumba hiyo,huyo mama mdogo wako ndie mwenye makosa anafanya ukrofi ili apate kumpoteza dogo
yani wew tu ndio umenielewa na jibu lako ni kama nilivyo waza mimi asante mkuu
 
Nimeelewa baada ya kuanzia chini kurudi juu
 
Ninavojua "odo" ni neno la kisomali lenye maana ya shangazi. Au ndugu wa kike wa baba.

NB sina hakika mtoa mada alimaanisha odo hii
 
mkuu kila mtu na vigezo vyake katika kutafuta mwenzi,sio kama mwenzio kapata yule na wewe utumie formular hio hio,in most cases love is feeling,ukimpata wako utafeel tofauti,sio unabeba kimazoea,hautakua na furaha kwa kuwa na mtu,kisa Fulani ana mtu,,,,sijui nimekuelewa au naingia chaka,lol
lol yani wew umecomment jf post ya facebook
 
Nahisi huyo jamaa aliegombana na odo wake ni wewe mwenyewe maana si kwa uandishi mbovu namna hii
 
mkuu kila mtu na vigezo vyake katika kutafuta mwenzi,sio kama mwenzio kapata yule na wewe utumie formular hio hio,in most cases love is feeling,ukimpata wako utafeel tofauti,sio unabeba kimazoea,hautakua na furaha kwa kuwa na mtu,kisa Fulani ana mtu,,,,sijui nimekuelewa au naingia chaka,lol
Bonge la chaka mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nahisi huyo jamaa aliegombana na odo wake ni wewe mwenyewe maana si kwa uandishi mbovu namna hii
inaonekana huwezi hata kuwa mwalim wa chekechea kama umeshndwa kuelewa hapo cjui kama muandiko wa daktar utaelewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom