Aise wakuu UKIMWI ni noma

Aise wakuu UKIMWI ni noma

Hamna lolote, niliacha kuogopa ukimwi 2018 baada ya jamaa yangu kupona huo ugonjwa, dawa aliyotumia ndiyo na mm natumia nikipita sehemu mbaya, ni zaidi ya mara tano. Na kwa taarifa yako kwasabu huu ugonjwa upo kimkakati mods watafuta hii comment.
Acha utapeli
 
Habari Wakuu.

Juzi nilienda Ubungo maji kumsalimia rafiki yangu alikuwa anaumwa. Kwakuwa nilienda mida mibovu na story zilikuwa nyingi ikanibidi nilale. ilipo fika asubuhi nikamsindikiza rafiki yangu zahanati pale msewe. Kumbe siku hiyo ilikuwa ni siku ya watu wenye Ukimwi kuja kuchukua dawa za kufubaza virusi.

Wakuu wadada(wanawake) wanao kuja kuchukua dawa pale ni warembo wamejazia mizigo kuzidi wazima yani ni warembo wanene Kwa wembamba mishangazi kwa vijana ni wazuri sana kama haujui unaweza sema huyu nikimpata napiga bila kinga ni wazuri Sana.

Ukiwaona walivyo warembo Wale wazee wa kunyonya nyuchi watasema nikimpata huyo mtoto nitamnyonya uchi mpaka atetemeke kumbe uchi una Ukimwi.

wakuu tuwe makini Ukimwi/ngoma ipo tena imejituliza kimya Kwa warembo, mishangazi Kwa vijana hivyo tufanye Kwa akili Sana.
Huku jukwaani kuna watu wanadai hakuna kitu kama ngoma ni project za Kimarekani kupiga watu pesa. Naamini una majibu mazuri kwao.
 
UKIMWI ni hatari sana,ila wakuu ogopa sana kifua kikuu,ogopa sana kifua kikuu,ogopa sana kifua kikuu,...tena kikimpata muhathirika kwa pamoja ana chance ndogo sana ya kuishi,,
 
Ishi kwa nidhamu kwa ajili ya familia yako na muwe wazi kushauriana kuhusu hili tatizo.
 
Habari Wakuu.

Juzi nilienda Ubungo maji kumsalimia rafiki yangu alikuwa anaumwa. Kwakuwa nilienda mida mibovu na story zilikuwa nyingi ikanibidi nilale. ilipo fika asubuhi nikamsindikiza rafiki yangu zahanati pale msewe. Kumbe siku hiyo ilikuwa ni siku ya watu wenye Ukimwi kuja kuchukua dawa za kufubaza virusi.

Wakuu wadada(wanawake) wanao kuja kuchukua dawa pale ni warembo wamejazia mizigo kuzidi wazima yani ni warembo wanene Kwa wembamba mishangazi kwa vijana ni wazuri sana kama haujui unaweza sema huyu nikimpata napiga bila kinga ni wazuri Sana.

Ukiwaona walivyo warembo Wale wazee wa kunyonya nyuchi watasema nikimpata huyo mtoto nitamnyonya uchi mpaka atetemeke kumbe uchi una Ukimwi.

wakuu tuwe makini Ukimwi/ngoma ipo tena imejituliza kimya Kwa warembo, mishangazi Kwa vijana hivyo tufanye Kwa akili Sana.
Dawa imeshagunduliwa Marekani, kwahiyo ni mwendo wa kula mbususu tuu
 
Wazee ukiona kabisa ume uza mechi nenda hospital kabla ya masaa 72 sema ukweli kuna dawa uta pewa.

Zingatia iwe ndani ya masaa 72 lakini una meza ck 30 kila ck kidonge kimoja,

Mm ni shahidi iliwahi nitokea kumbuka kuuza mechi sio ujinga ina weza kutokea bila kukusudia.
 
UKIMWI ni hatari sana,ila wakuu ogopa sana kifua kikuu,ogopa sana kifua kikuu,ogopa sana kifua kikuu,...tena kikimpata muhathirika kwa pamoja ana chance ndogo sana ya kuishi,,
Bora hata kifua kikuu vp homa ya ini.
 
download (1).jpg
 
Back
Top Bottom