Airtel wanyoosha mikono juu

Airtel wanyoosha mikono juu

MPARE KIBOGOYO

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2013
Posts
405
Reaction score
281
Aaah, kweli duniani hakuna kitu cha bure, hatimaye huduma ya HAKATWI MTU HAPA yapotea kukatwa kama kawa. NARUDI NYUMBANI
 
Rudi kwenu tu' mjini kuna wenyewe!

Hamna cha bure hapa!!!!!!
 
maana ya biashara maana yake ni kutengeneza faida !!kama hakuna faida hiyo ni hisani au msaada !epari huyu ana upendo gani kwako hadi akuhudumie bure wewe upate yeye akose pyuu...!!
 
Sasa ni HATOKI MTU HAPA.Nusu gharama ukitoa Pesa. Afadhali LIPA HAPA KWA TIGO PESA

Yehoshua Hamochiah
 
Me nilikuwa najiunga na kifurushi cha mwezi 19999 napata sekunde 650 lakini juzi nilijiunga nikapata sekunde 425 du narudi kwetu Tigo.
 
Bado sijaelewa hapa, ni katika huduma za mawasiliano au airtel money?
 
Mweh... Hii imeanza lini make jana tu jioni nimetumia huduma ya airtelmoney sijakatwa!!
 
Karibuni voda au tigo tulijua tu mtarudi. Milijifanya hamkatwi sasa kila mtu atakatwa.
Nyie mtaishije bila kukatwa? poleni sana
 
safari hii sijui watakuja na promo gani,kuwarudisha watu waliopetea
 
Back
Top Bottom