Airtel wanyoosha mikono juu

Airtel wanyoosha mikono juu

Acheni kupenda vya dezo,

Kwa nini wewe huko unakofanya kazi usijitolee,

Biashara lazima iendeshwe kwa faida!!
 
Wait nijaribu kukutumia hela nione kama nitakatwa. Namba yako s ile ile?

Ni kweli aisee, nimejaribu kucheki salio airtel money sasa hivi wamekata 50. Narudi butiama kwa kasi ya ajabu aisee!
 
Aaah, kweli duniani hakuna kitu cha bure, hatimaye huduma ya HAKATWI MTU HAPA yapotea kukatwa kama kawa. NARUDI NYUMBANI

Karibu Voda ni mtandao usioyumba, Mara celtel zain na sasa airtel.
 
Watu mnapenda bure eeh? Hata hivyo gharama zao ni nusu ya voda. Na ndiyo maana kauli mbiu ya sa hv hatoki mtu. Na kweli hatutoki.
 
"Competition" ni nzuri sana na MONOPOLY ni mbaya sana.....Imagine TANESCO wangekuwa na competitor!
 
Wanasema tuma hela kwa 'nusu bei', sijaelewa hiyo bei ni ipi ambayo utakatwa nusu, inabidi wawe wazi zaidi waache kutuzuga
 
Wanasema tuma hela kwa 'nusu bei', sijaelewa hiyo bei ni ipi ambayo utakatwa nusu, inabidi wawe wazi zaidi waache kutuzuga

Wanamaanisha kuwa kama mitandao mingine wanakata 1000 kwa kiasi kile kile wao wanakata 500. HATOKI MTU HAPA
 
Aaah, kweli duniani hakuna kitu cha bure, hatimaye huduma ya HAKATWI MTU HAPA yapotea kukatwa kama kawa. NARUDI NYUMBANI
Yakhee UMEKATWA!!!. Basi vumilia utazoea tu kwakua ni mara yako ya kwanza lazima ikuume. Pole kwa kupenda bure hakuna mfanyabiashara anaetoa huduma lazi ukatwe kiaina hakuna bure
 
Usajali endelea tu kutumia utaona makato yakeee.....Hakatwi Mtu Pale ile ilikuwa mbinu tu ya kuingia katika soko maana Tigo Pesa na Mpesa ndio wamebambaaa ile mbayaaa hakuna cha zap, zpesa wala hakati nani sijuii!
 
Sasa Jiunge na BURE PACK uendelee kutuma na kutoa pesa bure kwenye mtandao wenye gharama nafuu kuliko yote Tanzania. Hatoki mtu hapa. Piga *150*60#......



Wale wabahili hii itawafaa sana
 
"Competition" ni nzuri sana na MONOPOLY ni mbaya sana.....Imagine TANESCO wangekuwa na competitor!

Ndugu yangu, yote yana madhara kama watafanya ushindani wa kibiashara kila mmoja kivyake lakini usishangae wakapatana bei ili kutuibia kama makampuni mengine ulaya, kwani wanafikishwa mahakamani kwa price fixing kila leo.
 
Ndugu yangu, yote yana madhara kama watafanya ushindani wa kibiashara kila mmoja kivyake lakini usishangae wakapatana bei ili kutuibia kama makampuni mengine ulaya, kwani wanafikishwa mahakamani kwa price fixing kila leo.
Inawezekana kweli yote yana madhara lkn wakati wote tunaangalia wapi kuna madhara zaidi ya kwingine. Hayawezi kuwa sawa yote
 
Back
Top Bottom