Airtel wanyoosha mikono juu

Airtel wanyoosha mikono juu

Ndugu mmoja alitoa Tsh120000 mmchana wa leo 18/02/2014 akakatwa 13000.

Yehoshua Hamochiah
 
Leo nilikua customer care moja ya airtel hapa mjini wale jamaa wakawa wanacheka wakisema watakomaje wateja hatoki mtu hahahaha
 
Karibuni voda au tigo tulijua tu mtarudi. Milijifanya hamkatwi sasa kila mtu atakatwa.
Nyie mtaishije bila kukatwa? poleni sana

Ajabu, watu wazima wanaogopa kukatwa suna wanalia, vimilieni bana ndo soko huria lilivyo.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Karibu Voda ni mtandao usioyumba, Mara celtel zain na sasa airtel.
voda,tigo s ktu kwa upande wa airtel.sh 50 ndogo ukfanansha na wanayokata mitandao mingne...mara 600 mara 750.booooooooooooooooo
 
Back
Top Bottom