mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 1,221
- 1,268
Nimelipia kifurishi cha zuku through airtel money, ni siku ya mwisho kutakiwa kulipia vinginevyo huduma inasmamishwa, muamala haukukamilika so nikawapigia wahudumu wa airtel na haya ndio majibu yao
"Samahani kwa usumbufu pesa zako hazikuwasilishwa zuku kwahiyo utasubiri masaa 24 ya kazi then hela yako itarudi au italipwa zuku "
Nikamuuliza saa 24 za kazi ni mda gani akanijibu ni siku tatu na nusu.
Nikamuuliza mtanilipa fidia?
Akakata simu.
Sasa nauliza hizi hela kwa mda wa siku tatu na nusu mara wateja milioni moja si ni hela nyingi sana wanaizungushia bila kutulipa faida na huku tukikosa huduma? Au ndio awamu imerudi?
Update
Hatimaye leo saa 11 :37 jioni malipo yamefanyika
Nashkuru sana wana jamii kwa maoni na msukumo wenu pia asante Airtel Tanzania
"Samahani kwa usumbufu pesa zako hazikuwasilishwa zuku kwahiyo utasubiri masaa 24 ya kazi then hela yako itarudi au italipwa zuku "
Nikamuuliza saa 24 za kazi ni mda gani akanijibu ni siku tatu na nusu.
Nikamuuliza mtanilipa fidia?
Akakata simu.
Sasa nauliza hizi hela kwa mda wa siku tatu na nusu mara wateja milioni moja si ni hela nyingi sana wanaizungushia bila kutulipa faida na huku tukikosa huduma? Au ndio awamu imerudi?
Update
Hatimaye leo saa 11 :37 jioni malipo yamefanyika
Nashkuru sana wana jamii kwa maoni na msukumo wenu pia asante Airtel Tanzania