Mbona jana nimejiunga mkuu na kulamba MB 400 au hiyo kitu imeanza leo?!
jana nimejiunga na kupata mb400 balaa lake speed kichefu chefu
Mkuu nenda kwenye setting kisha network halafu set WCDMA only utakuja kuniambia.
@kinyoba, hii bado ipo, naitumia sana kwenye simu.Ni mtandao gani huu kuna mb400 kwa sh 2500? Maana airtel walishaiondoa siku nyingi sana. Kuna mb25 kwa sh 1500/ piga *154*44#
Ni mtandao gani huu kuna mb400 kwa sh 2500? Maana airtel walishaiondoa siku nyingi sana. Kuna mb25 kwa sh 1500/ piga *154*44#