support wpn
Senior Member
- Dec 30, 2011
- 152
- 14
Kwa taarifa nilizozipata hivi punde airtel wamerudisha kifurushi(bundle)cha 400m kwa 2500tsh na vifurushi(bundles) vingine vya zamani naomba kuwakilisha
umezipata wapi? je umejaribu kujiunga nahiyo bandle?Kwa taarifa nilizozipata hivi punde airtel wamerudisha kifurushi(bundle)cha 400m kwa 2500tsh na vifurushi(bundles) vingine vya zamani naomba kuwakilisha
haaaahaaa boraa aisee hz cku mbili wameipata pata
Imemeza kwako mkuu!Pole sana,kumbuka mvumilivu...Yaani jana wamenikomba 6000/= kwa bundle ya 150mb! Itabidi nikate rufaa!
Yah ni kwl just weka 2500tshs katika line yako ya Airtel na tuma msg
Internet kwenda 15444 na utaunganishwa na mb 400 mara moja apo apo.. ENJOY UR WEEKEND GUYS! 😛oa
Haha!It's so true,nimetoka kuiweka now imekubali kuunga kama kawa!Rudisheni virago kweny basi jekundu!