wameishusha lakini kutoka mb 400 hadi mb 250 kwa 2500 tuma neno internet kwenda namba 15444 wakikuzingua usijali subiri kisha tuma tena baadae hadi itakubali
Subiri uone matumizi yake kama utavuka Tarehe 1 mwezi wa 6. Airtel kwa sasa ni kimeo hamna kitu, kama kuna mtu ana mpango wa kununuwa modem ya airtel tuwasiliane anirudishie nusu hasara, nataka kuamia mtandao mwingine. na je mnaonaje speed ya airtel mkiingia JF?hahahahaha my wi nilikumis pia nipe habari za braza maana siku hizi tunaonana kwa darubini
mbona mie nimenunua mb 400 kwa 2500 tarehe 28.05.2012
Nime kupm mkuu, na ilo swala la kuperuzi jamiifourms na Airtel kuwa slow ata mimi nime experience ilo swalaSubiri uone matumizi yake kama utavuka Tarehe 1 mwezi wa 6. Airtel kwa sasa ni kimeo hamna kitu, kama kuna mtu ana mpango wa kununuwa modem ya airtel tuwasiliane anirudishie nusu hasara, nataka kuamia mtandao mwingine. na je mnaonaje speed ya airtel mkiingia JF?
Subiri uone matumizi yake kama utavuka Tarehe 1 mwezi wa 6. Airtel kwa sasa ni kimeo hamna kitu, kama kuna mtu ana mpango wa kununuwa modem ya airtel tuwasiliane anirudishie nusu hasara, nataka kuamia mtandao mwingine. na je mnaonaje speed ya airtel mkiingia JF?
Hakikisha unaponunua hiyo bundle kusiwe na bundle ambayo imebaki ktk account yako kabisa. Hata zikibaki 2MB kamwe huwezi kuunganishwa na bundle mpya.
Tuna internet kwenda namba 15444 afu pia hupati mb 400 utapata mb 200 kwa 2500/=
There is no free lunch gal, ila kama unatumia Laptop na speed iko bomba basi something is not normal in airtel.sijajua ngoja ifike hiyo tarehe lakini kwa sasa natumia kwenye LT ipo poa sana lakini kwa simu kuingia JF kasheshe hahahahahah hapo kwa kurudishiwa nusu sahau labda umpe bure lol
Hakikisha unaponunua hiyo bundle kusiwe na bundle ambayo imebaki ktk account yako kabisa. Hata zikibaki 2MB kamwe huwezi kuunganishwa na bundle mpya.
SIO KWELI Me NINAZO 3 ZINAFUATANA!!
KWELI KABISA MM NINAZO 4 za 400MBSijapata wahi kuona eti mimi ninazo 3 zinafuatana haikubali kufanya hivyo mpaka uliyoweka ya kwanza iishe.Usidanganye watu hapa nenda fb ndo kawadanganye kule
Sijapata wahi kuona eti mimi ninazo 3 zinafuatana haikubali kufanya hivyo mpaka uliyoweka ya kwanza iishe.Usidanganye watu hapa nenda fb ndo kawadanganye kule
ANGALIA HII SCREENSHOT NDO UTAAMINI NA Hapo YA KWANZA IMEISHASijapata wahi kuona eti mimi ninazo 3 zinafuatana haikubali kufanya hivyo mpaka uliyoweka ya kwanza iishe.Usidanganye watu hapa nenda fb ndo kawadanganye kule
Subiri uone matumizi yake kama utavuka Tarehe 1 mwezi wa 6. Airtel kwa sasa ni kimeo hamna kitu, kama kuna mtu ana mpango wa kununuwa modem ya airtel tuwasiliane anirudishie nusu hasara, nataka kuamia mtandao mwingine. na je mnaonaje speed ya airtel mkiingia JF?
250MB kwa 2500/= ???? Mbona nimenunua 250MB kwa Tshs 10,000/= kutoka vodacom. kumbe tunakamuliwa huku?
hahahahaha my wi nilikumis pia nipe habari za braza maana siku hizi tunaonana kwa darubini
mbona mie nimenunua mb 400 kwa 2500 tarehe 28.05.2012