ndetichia
Platinum Member
- Mar 18, 2011
- 27,769
- 6,589
ulitaka kuniua manake hii ndo inayookoa jahazi na huu ukata sasa wakiondoa si itakuwa kasheshe? hata hapa jamvii hatutaonekana tena
nadhani wameipeleka kwenye modem zao mpya za 30K siunajua promotion tena..