Mi nawashangaa zantel...wao eti bundle kwa mwezi ni 15,000 kwa 700mb....Nahamia zangu airtel hata iko slow ntakomaa
Wapuuzi sana hawa. Nilipanga kesho nikanunue Moderm ya Voda!
lalamike na bei za vyakula tuone lol
labda muujiza utaendelea lol
afadhali kama wamerudisha, ingekula kwao kwani watumiaji wa internet yao sehemu kubwa ni wanajf. bado tanesco sasa
Mwenzenu niko njia panda...voda yangu ambayo daima ni slow haifanyi kazi mitaa ya kongowe ya mbagala nilikoweka makazi. Huwa naitumia nikija mjini tu. Natafuta net ya maana yenye speed nzuri na cheap kwa monthly bundle itakayoweza kufanya kazi mpaka huku kijijini. Budget yangu ya mwezi haizidi 30,000/-. Ushauri please
Airtel leo imerudisha huduma ya internet ya bei nafuu iliyoifuta 01.03.2012 baada ya malalamiko mengi ya wateja wao,hii ni ile ya 400MB - 2500/- haya wachovu wenzangu kelele zenu zimesikika enjoy cheap internet connection.