Airtel: Kifurushi cha intaneti cha TSHS 2,500/-

Airtel: Kifurushi cha intaneti cha TSHS 2,500/-

I see, am happy to hear that. Maana nilikuwa na mawazo hvi vibundle vyangu vilivyobakia vingeisha sijui ningefanya nini. Thanks God and bravo AIRTEL
 
Nafurahi ya kwamba Internet ya airtel imerudi tena kwa kiwango kile kile chenye nafuu kinachonufaisha wengi na kurahisisha maisha.

In capital letters sms "INTERNET" to 15444.

Utapokea ujumbe mfupi wenye taarifa ya 400 MB kwa tsh. 2500/= tu.
Enjoy Urselves.
 
Airtel kama pinda na madaktari.
 
Nadhani walipita humu na kuona jinsi wadau walivyolalamika na kupanga kuhama!
 
lalamike na bei za vyakula tuone lol
labda muujiza utaendelea lol
 
dah wakuu narudi,nlikuwa nimehamia kwenye kile kibajaj cha kijani,sasa narudi kwenye Yutong nyekundu,safi saaaana
 
Wapuuzi sana hawa. Nilipanga kesho nikanunue Moderm ya Voda!
 
Wangeolewa na voda wasingerudisha hii bundle maana voda tangu juzi mb 100 kwa mia5 raha kweikwei!avache sana voda
 
hiyo ndo airtel nadhani walikuwa wanajaribu itakuwa vp wakipitisha basi lao kwenye moto wameona hivyo imebidi warudi barabarani
 
Back
Top Bottom