Habari za jioni wakuu, Naomba mnisaidie hivi kifurushi chetu pendwa mtandao wa Airtel cha mb 400 kwa Tsh 2500 kimefutwa? sababu nimekuwa nikituma neno internate kwenda namba 15444 muda mrefu sana napata meseji hii
" Neno ulilotuma sio sahihi, Tafadhali chagua kati ya :- 25MB, 150MB, 250MB, 500MB, 1GB, 2GB, 3GB, 5GB, 8GB, 15GB, 20GB, INTERNET, SIKU, SAA, WIKI, MWEZI ama SALIO kwenda 15444,au piga *154*44#.Asante."
Sasa Nakosea jinsi ya kusajili hicho kifurushi au
.
cheki na neno. Mimi nimejiunga leo na nikapata 400mb, jaribu kuandika neno Internet uone matokeo yake.
The unseen is illustrated by the seen.