Airtel: Kifurushi cha intaneti cha TSHS 2,500/-

Airtel: Kifurushi cha intaneti cha TSHS 2,500/-

WEZI HAO UKIJARIBU SANA WANACHUKUA HELA YAKO YOTE NA mb400 HAUPEWI, MIE WALINIFANYIA HIVYO LAST MONTH KUWAULIZA WAKASEMA WANASHUGHULIKIA LAKINI MPAKA LEO KIMYA
 
naomba msaada jinsi ya kupata kifurush cha mb400 kwa 2500 kwa 30dys. AIRTEL.Nimejaribu kutuma INTERNET KWENDA 15444 Ikataa nisaidien jaman!

unavojarib do it several tymz co mara mj,pia unaeza ht toa line,or turn off ur 4n thn On!
 
Hii huduma imekuwa ni ya wizi kwa sasa maana hizo MB zinavyotafunwa huwezi amini
 
hiyo nadhani ni kwa line za mda kidogo ndo zinakubali kupokea MB 400, zile za siku hizi zinakataa, kwa hiyo ni line na line mkuu. kama ni mpya huwezi unga mpaka utumie ile ya *154*44# ambayo inakupa vifurushi vipya ambapo hamna ya 400MB.
 
Hii huduma imekuwa ni ya wizi kwa sasa maana hizo MB zinavyotafunwa huwezi amini
kweli kabisa mi nilijiunga bundle 4 za MB 400 kwa elfu kumi, nimetumia only a week now zimeisha bundle 2 it means 5000 imeisha, nimedownload kidogo miziki yenye ukubwa wa mb 3-6 tu, hata mimi nina mashaka nao
 
chomeka line kwenye cm then word internet 2 15444 alafu rudisha kwenye modem yako works with me all the tym
 
wadau, nikijaribu kujiunga na hii bundle inagoma, inataka nijiunge na ya 150 mb kwa the same price na inaisha within one week... Nimepiga hadi customer care najibiwa hovyo,, nakuombeni mnisaidie wakuu,, nyie kwenu vp???.. Kama wameifuta offer hii niwaachie basi lao bovu nirudi kwenye bito..
 
wadau, nikijaribu kujiunga na hii bundle inagoma, inataka nijiunge na ya 150 mb kwa the same price na inaisha within one week... Nimepiga hadi customer care najibiwa hovyo,, nakuombeni mnisaidie wakuu,, nyie kwenu vp???.. Kama wameifuta offer hii niwaachie basi lao bovu nirudi kwenye bito..

Mkuu mbona bado ipo,mi nimejiunga leo tu!weka salio c pungufu ya 2500,kisha andika neno internet tuma kwenda 15444.
 
wadau, nikijaribu kujiunga na hii bundle inagoma, inataka nijiunge na ya 150 mb kwa the same price na inaisha within one week... Nimepiga hadi customer care najibiwa hovyo,, nakuombeni mnisaidie wakuu,, nyie kwenu vp???.. Kama wameifuta offer hii niwaachie basi lao bovu nirudi kwenye bito..

Ni kweli hii huduma inawagomea watu wengi kwa sasa.....mimi wiki yote najaribu kujiunga inagoma
 
Mkuu mbona bado ipo,mi nimejiunga leo tu!weka salio c pungufu ya 2500,kisha andika neno internet tuma kwenda 15444.

basi itakua inagomea baadhi ya watu kama dada sweet lady anavosema... Mimi na ndugu yangu nyumbani tunapoishi wote imetugomea.. Sijui nini tatizo,,, airtell managers kama mnapita pita humu, please mkapate kutusaidia
 
basi itakua inagomea baadhi ya watu kama dada sweet lady anavosema... Mimi na ndugu yangu nyumbani tunapoishi wote imetugomea.. Sijui nini tatizo,,, airtell managers kama mnapita pita humu, please mkapate kutusaidia

Wamekataaaaaaaaa.
 
Ina fanyakazi kwenye moderm za zamani zile za enzi ya ZAIN. Hizi mpya zinagoma sijui kwa nini!
 
Ni kweli hii huduma inawagomea watu wengi kwa sasa.....mimi wiki yote najaribu kujiunga inagoma

Yangu naona imekata kabisa muda mfupi uliopita ila huwa nina modem za mitandao yote, sasa nimeweka voda sweetlady.
 
Last edited by a moderator:
Nimeitumia muda huu. Nadhani kama wanaosema inafanyakazi kwenye modem ya zamani wako sahihi kwa kuwa ninatumia hiyo. Hata hivyo kuna wakati nadhani mwezi wa 5 ilikuwa inagoma tuu pasipo sababu. Keep trying
 
Back
Top Bottom