Airtel: Kifurushi cha intaneti cha TSHS 2,500/-

Airtel: Kifurushi cha intaneti cha TSHS 2,500/-

Kwa hiyo sisi tunaotumia moderm mpya za 3G, ndo imekula kwetu?? Aaaaaaarrrrgh!
 
Inawezekana kweli walioanza zamani wanapata kwani hata mimi niliweka leo ikakubali.
 
Jamani msaada please hiyo bundle mnatumia kwa siku ngapi
 
ikikataa, weka line yako ya modem kwa simu yako halafu andika INTERNET TUMA KWENDA NAMBA 15444
 
cha muhimu laini yako iwe ya zamani tu,toa laini weka kwenye simu nyingine then nunua hyo bando,halafu iweke hyo laini kwenye modem mpya gonga mzigo,spidi ni ya nduki live,unaangalia online mamuv bila kustuck,yaani ni full maraha tu
 
kwa kuchagua malipo ya bundle 2500 au nakosea mkuu nielekeze vizuri.

unakosea, hutakiwi kufuata menu, ukifuata menu lazima upewe bandle hiyo usiyohitaji na kumbuka bundle ya mb 400 kwenye menu haipo, hivyo ukiitaka tumia komand moja kwa moja, yaani andika internet tuma ujumbe huo kwa 15444
 
sasa hawa airtel wawe makini basi,, kama ni offer kwanini wabague???? Leo ntawafata ofisini kwao nikatoe haya malalamiko,, yatakayojiri ntarudi hapa kuwapa majibu wakuu,,, shukrani nyote
 
unakosea, hutakiwi
kufuata menu, ukifuata menu lazima upewe bandle hiyo usiyohitaji na
kumbuka bundle ya mb 400 kwenye menu haipo, hivyo ukiitaka tumia komand
moja kwa moja, yaani andika internet tuma ujumbe huo kwa 15444

Asante sana mkuu kwa maelekezo.
 
sasa hawa airtel wawe makini basi,, kama ni offer kwanini wabague???? Leo ntawafata ofisini kwao nikatoe haya malalamiko,, yatakayojiri ntarudi hapa kuwapa majibu wakuu,,, shukrani nyote

Nafikiri hii bundle inafanya kazi kwa wateja wa zamani waliokuwa wanaitumia. Wateja wapya hawapewi.
 
Mimi nina line 2 moja kwa moderm na moja kwenye cm sasa nikiunga hii ya cm inagoma kabisa lakini ile ya moderm inakubali,
Natia shaka labda wana line zao ambazo wanaona zitumie hiyo bundle na nyingine zisitumie kama kuna kitu wana benefit ki biashara labda.
 
Mimi nina line 2 moja kwa moderm na moja kwenye cm sasa nikiunga hii ya cm inagoma kabisa lakini ile ya moderm inakubali,
Natia shaka labda wana line zao ambazo wanaona zitumie hiyo bundle na nyingine zisitumie kama kuna kitu wana benefit ki biashara labda.

Wakuu,nimejaribu kufuatilia kwa wa2,wote wenye modem mpya,huduma hii inagoma,ila kwe2 wenye magobole ya long tyme tuna peta,kwani haya ya zamani yana menu,ambayo kuna sehemu imeandikwa text,uki click pale kina kuja kibox unaandika neno internet kisha una2ma kwenda 15444,ki2 mwake kinajipa!na line zake huwa kwenye cm za kawaida haikubali,always old is Gold'poleni sana.
 
Hahahaaa,kuna watu humu ndani wanafurahisha sana.Nime jaribu kufuatilia kuuliza nimeambiwa hii offer ilikwisha muda wake.Ila kwa wale waliojiunga nayo zamani waki request wanapata.
 
Je mnaposema "line za zamani" mnamaanisha nini? Je nile line za tokea miaka ya 2006 ambazo hazijarudiwa (renew)?
 
Hii bundle inakubali kwa wenye modem za zamani. MM ilishakataa muda na nikaenda
airtel wakaniambia hiyo offer ya 400Mb kwa sh. 2500/= haipo tena.
 
Mkuu mbona bado ipo,mi nimejiunga leo tu!weka salio c pungufu ya 2500,kisha andika neno internet tuma kwenda 15444.

sie tuko na modem mbili, moja hutumia mke wangu moja hutumia mie, yeye anaweza kujiunga, na mara ya mwisho kajiunga jana, lakini mie siwezi kujiunga ni kama wiki mbili sasa, inawezekana ni control inawekwa kwenye line ya simu au sijiu vipi, lakini wengine wanaweza kujiunga wengine hawawezi
 
Back
Top Bottom