Airtel: Kifurushi cha intaneti cha TSHS 2,500/-

Airtel: Kifurushi cha intaneti cha TSHS 2,500/-

Bado ipo hiyo 400 mb kwa sh 2500, kuhusu speed mi kwangu airtel ina speed ambayo sijawahi kuiona.
 
Ipo mkuu mimi nimejiunga leo ona hapo chini kama ikigoma jaribu kubadili line, yaani chukua line tofauti na hiyo.
AA1.png

AA2.png

AA3.png

AA4.png

AA5.png
 
Tuna internet kwenda namba 15444 afu pia hupati mb 400 utapata mb 200 kwa 2500/=


Mbona wanatoa 400MB kwa tshs 2,500. Hii ndo message yao niliyoipata baada ya kuomba internet toka 15444:

Name:
Number: 15444
Content:
Dear Customer.You have successfully received 400MB.You have successfully received 400MB.You have successfully received 400MB.To view your balance and expiry date,dial *154*44# and follow instructions.Thank you
Time: 30/05/2012 11:16:49


Sijui kama ni kiini macho lakini nadunda na hizo 400MB kama kawaida

ofcourse hiyo *154*44 reli haifanyi kazi - we komaa kuulizia salio kwa ku sms SALIO kwenda 15444.
 
Mbona wanatoa 400MB kwa tshs 2,500. Hii ndo message yao niliyoipata baada ya kuomba internet toka 15444:

Name:
Number: 15444
Content:
Dear Customer.You have successfully received 400MB.You have successfully received 400MB.You have successfully received 400MB.To view your balance and expiry date,dial *154*44# and follow instructions.Thank you
Time: 30/05/2012 11:16:49


Sijui kama ni kiini macho lakini nadunda na hizo 400MB kama kawaida

ofcourse hiyo *154*44 reli haifanyi kazi - we komaa kuulizia salio kwa ku sms SALIO kwenda 15444.
inafanya kazi mkuu inategemeana na modemu nenda kwenye Airtel menu andika hiyo namba.
 
Habari za jioni wakuu, Naomba mnisaidie hivi kifurushi chetu pendwa mtandao wa Airtel cha mb 400 kwa Tsh 2500 kimefutwa? sababu nimekuwa nikituma neno internate kwenda namba 15444 muda mrefu sana napata meseji hii

" Neno ulilotuma sio sahihi, Tafadhali chagua kati ya :- 25MB, 150MB, 250MB, 500MB, 1GB, 2GB, 3GB, 5GB, 8GB, 15GB, 20GB, INTERNET, SIKU, SAA, WIKI, MWEZI ama SALIO kwenda 15444,au piga *154*44#.Asante."

Sasa Nakosea jinsi ya kusajili hicho kifurushi au ndio kimefutwa??
Naombeni msaada wakuu.
 
Habari za jioni wakuu, Naomba mnisaidie hivi kifurushi chetu pendwa mtandao wa Airtel cha mb 400 kwa Tsh 2500 kimefutwa? sababu nimekuwa nikituma neno internate kwenda namba 15444 muda mrefu sana napata meseji hii

" Neno ulilotuma sio sahihi, Tafadhali chagua kati ya :- 25MB, 150MB, 250MB, 500MB, 1GB, 2GB, 3GB, 5GB, 8GB, 15GB, 20GB, INTERNET, SIKU, SAA, WIKI, MWEZI ama SALIO kwenda 15444,au piga *154*44#.Asante."

Sasa Nakosea jinsi ya kusajili hicho kifurushi au ndio kimefutwa??
Naombeni msaada wakuu.
Hiyo line ni mpya?
 
Itakuwa kimefutwa maana ktk hizo option hapo hakuna chenye kuonyesha 400MB
 
Itakuwa kimefutwa maana ktk hizo option hapo hakuna chenye kuonyesha 400MB

walizuia kwenye line mpya ambazo zina kuja na modem za TZS 30,000 lakini ukijaribu kutumia line za zamani ina kubali sijui kama ni kwangu tu...
 
Hawa nao wezi..... Mara nunua Moderm kwa elfu 30 upate miezi 6 bure....wizi mtupu...TICRA wapo wapo tu...akh..
 
Itakuwa kimefutwa maana ktk hizo option hapo hakuna chenye kuonyesha 400MB

unajua hakijaandikwa nkwenye hizo option lkn ukituma neno internate kwenda namba 15444 ulikuwa unapata lkn sasa sijui tatizo nini?
 
walizuia kwenye line mpya ambazo zina kuja na modem za TZS 30,000 lakini ukijaribu kutumia line za zamani ina kubali sijui kama ni kwangu tu...

NAKUUNGA MKONO Mkuu, HATA MiMi NA KULA GOOD TYME NA Vi 400Mb vyangu
 
No Hakijafutwa! Unachotakiwa kufanya ni Kununua Vocha ya 2500 na uwe unakiwango kidogo cha Credit Kwenye laini yako. Mfano Tsh 50 n.k.. Halafu Tuma neno INTERNET kwenda 15444. Mimi nimejiunga Jana
 
No Hakijafutwa! Unachotakiwa kufanya ni Kununua Vocha ya 2500 na uwe unakiwango kidogo cha Credit Kwenye laini yako. Mfano Tsh 50 n.k.. Halafu Tuma neno INTERNET kwenda 15444. Mimi nimejiunga Jana

kama ni line mpya zina goma
 
Wakuu naomba mnipe ushuhuda kwa anaefaidi net yabure kwa 6mnth kutoka airtel kwa hizo modem za tzs 30
 
Back
Top Bottom