Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 833
Hii bundle inakubali kwa wenye modem za zamani. MM ilishakataa muda na nikaenda
airtel wakaniambia hiyo offer ya 400Mb kwa sh. 2500/= haipo tena.
upo bi dada?
Hii bundle inakubali kwa wenye modem za zamani. MM ilishakataa muda na nikaenda
airtel wakaniambia hiyo offer ya 400Mb kwa sh. 2500/= haipo tena.
Nilipiga customer care airtel kuwauliza kama hili bando la Mb 400 kwa tsh 2500 limefutwa, wakasema kua limefutwa , kwa sasa hivi unapata MB 150 tu kwa tsh 2500 , niliumwa!
Ukitimia menu huwezi kupata bando hii. Nenda sehemu ya ujumbe mfupi andika neno internet halafu tuma kwenda 15444. Subiri ujumbe wa confirmationKwa kuchagua malipo ya bundle 2500 au nakosea mkuu nielekeze vizuri.
Ni kweli hii huduma inawagomea watu wengi kwa sasa.....mimi wiki yote najaribu kujiunga inagoma
Nilipiga customer care airtel kuwauliza kama hili bando la Mb 400 kwa tsh 2500 limefutwa, wakasema kua limefutwa , kwa sasa hivi unapata MB 150 tu kwa tsh 2500 , niliumwa!