Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Wakuu nimehamasika na matangazo ya Airtel kwenye redio hata hapa Jamii Forum tangazo lao liko hapa juu lisemalo nanukuu:
Get the modem that gives you free internet:
Buy for only 30'000 Tsh and get free internet for 6 months visit airtel shop now! Mwisho wa kunukuu. Basi nimetoka muda huu hapa Airtel shop kama walivyosema na hapa kwenye ofisi zao Arusha nimepata bahati ya kumkuta shemeji yangu anayefanya kazi hapa nilipomuuliza shemeji vipi naweza kupata hii huduma amnayotangaza mpaka kwenye redio jibu alilonipa ni kua hilo tangazo ni uongo na ni biashara tu! Sikutaka kupoteza muda wangu nikaishia zangu mpaka naleta uzi huu je huu uongo wa biashara ndio mtindo wa kisasa? Nawasilisha.
Get the modem that gives you free internet:
Buy for only 30'000 Tsh and get free internet for 6 months visit airtel shop now! Mwisho wa kunukuu. Basi nimetoka muda huu hapa Airtel shop kama walivyosema na hapa kwenye ofisi zao Arusha nimepata bahati ya kumkuta shemeji yangu anayefanya kazi hapa nilipomuuliza shemeji vipi naweza kupata hii huduma amnayotangaza mpaka kwenye redio jibu alilonipa ni kua hilo tangazo ni uongo na ni biashara tu! Sikutaka kupoteza muda wangu nikaishia zangu mpaka naleta uzi huu je huu uongo wa biashara ndio mtindo wa kisasa? Nawasilisha.