Air Tanzania’s Airbus A220 suffers engine failure

utaratibu ni kupewa taarifa kila ndege ikiharibika?????
upinzani unapogeuzwa kuwa udaku2[emoji38][emoji38]

Kwa akili hizi CCM itatawala milele..

tutumie nguvu kujadili katiba mpya na tume huru ya uchaguzi... sio umbeya

Ccm haina uwezo wa kutawala milele kama chama cha siasa, bali ccm nguvu za dola ndio itaweza kutawala, tena sio kwa ridhaa ya wananchi, bali kupitia kubaka box la kura.
 
Ungewahi kufanya kazi kiwanda chochote ungejifunza kuwa hata gari mpya zinazopita computer test zote inaweza kuharibika siku mteja akiinunua...

Brand new imara ni alichoumba mungu tu.
Ndege brand new namna hii engine kuzima angani si jambo la kawaida kabisa.
 
'controversial journalist' P
 
Umesoma habari yote? Hii ndege ni toleo jipya. Wamesema hili tatizo limekuwa likitokea kwa ndege nyingine za aina hiyo. Uzuri ni kwamba tatizo linajulikana na kama ni kubadilisha engine basi Airbus ndiyo wabaeba gharama.

Kama mkataba wa manunuzi unasema hivyo hilo litawezekana. Ila kwakuwa manunuzi yalikuwa siri hutuna uhakika nani atakuwa muhusika wa kubadili kifaa chenye matatizo.
 
kuna kitu hakistahili kuharibika?

I wonder why zinaua watu kila mara..

Ngoja nipige ulanzi wangu maisha yasonhe
 
Tatizo letu tumegawanyika kweli kweli mpaka non issues zinageuka major issues. Kwenye aviation sio ajabu engine kuzingua. Tatizo labda ni manunuzi ya hizi ndege, mikataba inasemaje? Isije ikawa hata ikiharibika mapema hivi mzigo wetu
Bidhaa za mitumba zinakuaga Na guarantee kweli?
 
tembea duniani kafanye kazi viwandani...
kila kitu kinaharibika tu...

kati ya gari Toyota 100 well computer tested tulizokuwa tunatengeneza (nilikuwa assembly line) 5 zinarudishwa na watenja kwa ubovu
 
[emoji38][emoji38][emoji38]
Sijaelewa..!! Uo usiri unaoulalamikia unataka kila ndege ya ATCL ikipatwa na hitirafu unataka Waziri Kamwele aite press atangaze au CEO wa ATCL atabgaze.?? Shirika gani linafanya hivo hapa duniani?
 
Kitu chochote kinachoumbwa na mwanadamu kina kasoro upende usipende, ndege zitaendelea kuanguka na ajali zitaendelea kutokea. uadilifu ndio mwanadamu anatakiwa kufanya. Heko awamu ya Tano kwa kazi nzuri, sisi Watanzania tunaopenda kusafiri bila kukuru kakara tutaendelea kupanda ndege hasa za Air Tanzania ambazo ni za kodi yetu. JPM nunua ndege nyingine Tanzania ni kubwa tulizonazo hazijatosha.
 
Hizi ndege, mh!!!!!

Wahariri kazi kuandika habari za kusifia tu hasa kumsifu bwana yule, ila kuandika habari kama hizi, hawaandiki!!

Inawezekana kweli mnatishwa,lakini swali ni je,na kusifia mnalazimishwa?
Mkuu unafahamu maana ya neno Mkweche ?
 
Mnaosema mitumba ...mitumba INA dumu hizo ni special kidogo tu zinaita
 
Hasara waliyoipata wazazi wako ni mara dufu utoaji wa mimba ungeruhusiwa
 
Kama mkataba wa manunuzi unasema hivyo hilo litawezekana. Ila kwakuwa manunuzi yalikuwa siri hutuna uhakika nani atakuwa muhusika wa kubadili kifaa chenye matatizo.
Mkataba wa ununuzi wa ndege ni kitu ambacho kiko complicated na too advanced kwa watu wengi. Nakushauri ujiepushe kuzungumzia hili jambo. Siyo kama kununua bajaji mazee.
 
Kuharibika kwa ndege nalo ni jambo la kisiasa? Kwa hiyo ndio ndege ya kwanza kuharibika?
Hiyo ndege yenyewe ni siasa ndo maana wenyewe wakaipa chapa ya ule msemo wao maarufu wa kampeni wa "Hapa Kazi Tu"
 
Mkataba wa ununuzi wa ndege ni kitu ambacho kiko complicated na too advanced kwa watu wengi. Nakushauri ujiepushe kuzungumzia hili jambo. Siyo kama kununua bajaji mazee.

Tunahoji mkataba maana ndege sio bajaji. Ww kahoji mikataba ya bajaji, ni suala la kugawana maeneo tu ya kuhoji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…