Aine -kwa ajili yako

uporoto01

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2008
Posts
4,698
Reaction score
1,429
Unaweza kuhisi hauthaminiwi,unapuuzwa au hatukujali,unaweza hisi kuna wenye umuhimu zaidi ya wengine hapa JF.Kama umehisi chochote kati ya hivyo naomba radhi kwa niba ya wengine na haikuwa dhamira yetu.Wewe ni muhimu kwetu tunakuthamini,tunakujali na tunakupenda. Shairi la Klorokwini linafata kwenye thread ingine ambayo pia ni kwa ajili yako.
 
tusamehe sana Aine....lakini kaka Uporoto tumemfanyaje Aine?

Aine hata mimi niwie radhi nilikuwa Busy sana na mambo mengine siyo kwamba sitambui uwepo wako
 
Jamani aine smiiiíile.
Hivi aine ni kidume au kijike?
Spanish lady tunajaribu kurekebisha mbona unataka kuharibu ? kuna dume linaitwa Aine kweli ? huyu ni african lady wa haja.
 
haahahaha dah! mmemuanzishia thread kweli...! bado tusubiri # 2 .. maana alisema anachukia kuanzishwa thread ndani ya thread ...
 
Sikuwa na maana yoyote mbaya mkuu, labda thread yangu sijaiweka ktk maana ambayo mngeelewa woooote in a positive way, am sorry if i was misunderstood in this way, na nafikiri hasa niliposema iwe kwa kumsifia mtu, pengine ningesema kwa kumponda mtu tu labda mngeifurahia. anyway am sorry again
 
Spanish lady tunajaribu kurekebisha mbona unataka kuharibu ? kuna dume linaitwa Aine kweli ? huyu ni african lady wa haja.
<br />
<br />
kuna dume linalotungiwa sredi na dume lenzie tena lenye maneno matamu kama hayo.
Kweli spanish lady nimechoka kufikiria. Lol.
 

No need to be sorry! Aine.. wana JF walikuelewa loud & clear ...
 
hapana Aine hauna haja ya kuwa sorry tusamehe sisi kwa kutokukuelewa.
 
<br />
<br />
kuna dume linalotungiwa sredi na dume lenzie tena lenye maneno matamu kama hayo.
Kweli spanish lady nimechoka kufikiria. Lol.
hebu sogea pembeni hapa usigongwe na magari ya Dar bure lol!
 
Aine wetu kapendeza, JF anang'ara
vishavu kama vichenza, tena havuti sigara
akiwezeshwa anaweza , Dodoma hadi mtwara
Wale wanaombeza , Mungu awape madhara

Wengi wanamgombea, mimi pia uporoto
Sredi tumemuanzishia, JF haina majotro
Mtoto ametulia , hehe klorokwini si mseto
Wengine wanadandia, wewe ndie wangu mto

Dah! nitamalizia baadae, swaumu ya leo kali, vina havikuji.
 

duh ww kweli mkare bt humshindi Magulumagu, NN na MM.
 
<br />
<br />
hahahahahaha! Kloro shairi limetulia. Lol.
 
Lolz! Nimecheka sana,we Uporoto na kloro mmeniongezea nguvu! Hus nimekumiss kiukweli..
 
<br />
<br />
ahaaa!!! Kumbe unapenda kuwekewe thread kwa jina lako?
 
<br />
<br />
hahahahaaa, you rock....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…