Ndiyo huyo huyoYule chinjachinja?
Wabakishie wana cha ukuchaWatu wasiojulikana wanawaua wanaojulikana alafu wanawatupa kusikojulikana siku isiyojulikana,mahali pasipojulikana na marehemu watagundulika siku isiyojulikana na watu wasiojulikana...!!!??*"dah ntaendelea ngoja nimalizie kwanza kipisi changu cha bhangi
Dahh kweli umenikumbusha mshana jrWabakishie wana cha ukucha
Naomba niweke baadhi ya picha zenye maelezo machache.. TAHADHARI. MAUDHUI YANATISHA View attachment 6749532009 kikundi cha madawa ya kulevya kilipowaua wapinzani wao ama wanaowahisi wanatoa siri zao... Mauaji ya kutisha na kinyama kama haya ni ya kawaida kwenye vikundi vya madawa ya kulevya kikundi katili zaidi ni mundonarco. com
Hawa wachaga hawa... Basi tu ni kwa vile ni watani zangu ila....Watu wana ajira mbali mbali hapa duniani.
Dunia haina huruma
Mshana kaka...ulinivutia kutoka kuwa msomaji wa nyuzi zako niwapo lindoni na bila kisinzia
Na leo nimekuwa member humu.
Yapo niliyowahi kuyaona...ni matukio ya kutisha
Walinzi tunakutana na mengi
Kuna siku mlinzi mwenzetu alichinjwa lindoni
Na kuna mwingine alikatwa vipande kisa Duka la vinywaji vikali.....
Wachaga kwa biashara ya vinywaji....huwa wanatamani wawepeke yao sokoni....wauze wao tu....akiinuka mpare ajaribu hiyo biashara lazima aibiwe na mlinzi afe.
Kesho nakuja Msata kutafuta tiba ya kujikinga na wezi na washawishi walinzi mana wamekuwa wengi siku hizi....kupita malindoni kutudanganya ili tuwa maduka ya watu
