Hifundishi chochote, ila un ethicalKwanini
Hahahaaaaa!!!natamba hapa popoma la kichagaHawa wachaga hawa... Basi tu ni kwa vile ni watani zangu ila....![]()
![]()
![]()
![]()
Haswaaa mtani wako mimiMtani 😀 😀 😀
Snipers are heartlessSnipers watu wabaya sn aseeh,.ktk vita kuu ya pili ya Dunia Germany(Prussia) ilikua ndio taifa lenye snipers HATARI Sanaa,kwakua baada ya WWI mataifa mengi ya ulaya yalikua less active ktk kukazia mafunzo ya snipers wakidhani Uwezekano wa kutokea kwa vita kuu ya pili ni MDOGO au Haupo KBS,.So far hawa Jamaa wako smart n Brave too!!physics,Maths n jiografia ya mazingira wanavichimba Sn+Huwa napenda sn movies za ma Snipers kwakua binafs pia napenda masuala ya SHABAHA sn!!
Mkuu nitaipataje hiyo series.?Sure! Kuna movie series inaitwa Narcos based on true story of the Escobar n his cartel. Daah ni noma....
Henry kisandukuSnipers are heartless
Na mimi mkuu.Naihitaji pia
Wanawake Wengi kwa kawaida hawana hela ya nauli kwenda kwa wanaume wao
Lakini wakati akihisi upo na mwanamke mwingine mimi huwa sijui wanatoa wapi nauli utasikia tu anagonga mlango
