Viko ving mkuuUnavifamu vipi Kwa maana unafahumu vitu vingino then uko deeply sana
kwanini unatuhubiria uchawi..?Hapana mimi sio mchawi
Weee mbwa ni muuaji uliyekubuhuWewe ni nani hadi uamue nani anapaswa kuzaliwa na yupi hapaswi? Na kama una huo uwezo utashindwaje pia kuwa muuwaji?
usiilazimishe akili yako kuelewa ktk kanuni moja! kuwa mpembuzi wa lugha nilichokitaka ni kwanini umekuwa ukifundisha/kuandika maswala ya kichawi..?JF hakuna mahubiri sio kitengo cha kiimani, ni forum huria ya hoja na mijadala
Ni sumbawanga au Mlele (Katavi),Hiki kisa nakumbuka ni cha 2013 mwenyekiti wa kijiji kimoja huko Sumbawanga.jamaa alikuwa na roho mbaya balaa alimkata mhanga wake kichwa na pu*mb* akenda kuviinjika jikoni kwenye maji ya ugali aliyoyaweka mkewe marehemu kisha akatembea mbele.noma sana!!!
Ni Mungu alimnusuruHivi wale wa TL ni kwamba hawajui kazi yao vema au tu kuna nguvu ya
Mungu kwenye tukio zima maana nishaona watu wengi wakifa kwa Risasi
moja mpaka tano tena kwa kupigwa maeneo ambayo si hatari kama ya TL!?
hapana ilikuwa katavi, sehemu inaitwa inyonga kisa ilikuwa wivu wa mapenzi jamaa akakodi watu toka tabora wakamuua huyo jamaa. ila walikamatwa
Yah mkuu kilambimkwidu ni Katavi kama alivyosema kaka mkubwa hapo juu,sipo vizuri sana kwenye kukumbuka maeneo ila nadhani hapa limeshakaa sawa.Ni sumbawanga au Mlele (Katavi),
Sikulazimisha bali nilikufafanulia kuhusu neno MAHUBIRI... huoni sasa umekuja kivingine.... Ningekuwa darasani ningekupausiilazimishe akili yako kuelewa ktk kanuni moja! kuwa mpembuzi wa lugha nilichokitaka ni kwanini umekuwa ukifundisha/kuandika maswala ya kichawi..?
mantiki yangu bado iko palepale
lakini ya mwanzo ningekupa