Galacha Maestro
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 1,353
- 2,231
- Thread starter
- #41
Duuuuh usinilishe maneno sio wote. Hayo umekiri wewe.Ungehitimisha kwa kusema wanawake wote waliopo duniani ni malaya ila wametofautiana makundi waliyopo.
Duuuuh usinilishe maneno sio wote. Hayo umekiri wewe.Ungehitimisha kwa kusema wanawake wote waliopo duniani ni malaya ila wametofautiana makundi waliyopo.
Hapana. Ila nimependa zungumzia wanawake kwa leo.Ni wanawake tu?
Habari yako iko kiupande mmoja, haina mizani na inanuka unyanyapaa wa wanawake.Hapana. Ila nimependa zungumzia wanawake kwa leo.
Duuuuh...Habari yako iko kiupande mmoja, haina mizani na inanuka unyanyapaa wa wanawake.
Kama hutafuti ruhusa hakukuwa na maana Ya kuuliza swali kwa kuwa majibu unayo.. Kuja kuulizwa swali linalohusu upande usiotajwa ni kumfundisha kazi mtoa mada.. Yeye ameongelea wanawake kama na wewe unajua la upande wa pili kwa wanaume liongee.Naruhusiwa na nani?
Nani kakwambia natafuta ruhusa?
Duuuuh usinilishe maneno sio wote. Hayo umekiri wewe.
Hahahahahaaaaa.... kazi kweli kweli... meza dawa ukiwa pouwa tutachati keshoo. Sitowazungumzia wazazi wako. Unaweza kukuta ni wazee au hawapo duniani, pia naweza nkakutonesha kidonda na pia hawausiki. Busara ni kipawa kutoka kwa Mungu sio wote wana busara. Samahani kama umejikuta unadondokea kote sikukulenga wewe na wasalimie home. Mwambie mama yako akupe dawa usiku tayari. Alafu akufundishe adabuu.Unakataa kula chakula ulichopika mwenyewe???
Mama yako alimzidi Mzee wako mali?
Je hakua nae kwakufuata mali zake hata kama ni kidogo kiasi gani?
Hayuko kwenye kundi la indirect prostitution???
kama hutafuti ruhusa hakukuwa na maana Ya kuuliza swali kwa kuwa majibu unayo.. Kuja kuulizwa swali linalohusu upande usiotajwa ni kumfundisha kazi mtoa mada.. Yeye ameongelea wanawake kama na wewe unajua la upande wa pili kwa wanaume liongee..
Unajua maana ya kahaba?Sijasema anajiuza. soma vizuri inajieleza.
Unakataa kula chakula ulichopika mwenyewe???
Mama yako alimzidi Mzee wako mali?
Je hakua nae kwakufuata mali zake hata kama ni kidogo kiasi gani?
Hayuko kwenye kundi la indirect prostitution???
Yap. So make correction for you are self.. put suitable word.Unajua maana ya kahaba?
Nadhani aina ya kwanza ni ya huyo mleta mada.
Hahahahahaaaaa.... kazi kweli kweli... meza dawa ukiwa pouwa tutachati keshoo. Sitowazungumzia wazazi wako. Unaweza kukuta ni wazee au hawapo duniani, pia naweza nkakutonesha kidonda na pia hawausiki. Busara ni kipawa kutoka kwa Mungu sio wote wana busara. Samahani kama umejikuta unadondokea kote sikukulenga wewe na wasalimie home. Mwambie mama yako akupe dawa usiku tayari. Alafu akufundishe adabuu.
Ngoja nikusaidie...kahaba ni anaejiuza, malaya kuwa na wapenzi wengi....sasa kwenye thread yako unaita makahaba hata wasiojiuza.Yap. So make correction for you are self.. put suitable word.
Mbona umepanic relax...Adabu ufunzwe wewe kwanza,
ANAYESEX NA KAHABA NA YEYE NI KAHABA.
#ItBeginsWithYou#
Nimekupata thanks.Ngoja nikusaidie...kahaba ni anaejiuza, malaya kuwa na wapenzi wengi....sasa kwenye thread yako unaita makahaba hata wasiojiuza.
Hahahahahaaaaa.... kazi kweli kweli... meza dawa ukiwa pouwa tutachati keshoo. Sitowazungumzia wazazi wako. Unaweza kukuta ni wazee au hawapo duniani, pia naweza nkakutonesha kidonda na pia hawausiki. Busara ni kipawa kutoka kwa Mungu sio wote wana busara. Samahani kama umejikuta unadondokea kote sikukulenga wewe na wasalimie home. Mwambie mama yako akupe dawa usiku tayari. Alafu akufundishe adabuu.
Mbona umepanic relax...