Galacha Maestro
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 1,353
- 2,231
- Thread starter
- #101
Una ruhusiwa na wewe kuwashauri waache. Uwanja wako brazaa.Mi ningefurahi kama ungewashauri pia wanaume waache kununua hao makahaba sijui malaya. Bidhaa kama hainunuliki huwezi kuendelea kuuza. balancesha coz huo ukahaba hawafanyi pekeyako wanafanya na wanaume. Na waache kutongoza ovyo coz huyo unaemwita kahaba wewe ndo unaeanza kumfuata.

