Galacha Maestro
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 1,353
- 2,231
- Thread starter
- #21
Yataendelea kuepo kwakua yalikupo. Tutayaacha na yataendelea.Hayo makundi yatendelea kuwepo tu
Yataendelea kuepo kwakua yalikupo. Tutayaacha na yataendelea.Hayo makundi yatendelea kuwepo tu
Asante kwa kusoma.Kwa hawa wakujitakia no comment
Asante kwa kusoma.Tunashukuru kwa taarifa.....
Kama ulivoona. Ndivyo zilivyo.Hizo aina kuu nne hazipo kwa Kiswahili?
Kama ulivoona. Ndivyo zilivyo.
kama wewe unazo za wanaume unaruhusiwa kuanzisha thread mkuu ili tucheki pande zoteNi wanawake tu?
Naruhusiwa na nani?kama wewe unazo za wanaume unaruhusiwa kuanzisha thread mkuu ili tucheki pande zote
Wanaona ila pumzi wanazovuta wakizitoa ndo utawajua mawazo yaoKwani unadhani hawapo? Huo ni ujumbe tuu.
Asante kwa kusoma.lesson of the year
Duuuuh. Hahaha mshauri banaa....hatar sana nipo naye mmoja hapa huyu chips kavu tu.
Asante na wewe kwa kusoma.Asante mkuu kwa kwa kutujuza
Asante kwa maoni yako mazuri.Mm naona kuna malaya wa aina mbili
1.malaya wa kutoa mzingo kwa sababu anataka ela kwa muhusika
2.malaya anayetoa mzingo kwa starehe zake.
Malaya anayetoa mzingo kwasababu ya ela au mali,huyu hata akiolewa lazima ataendelea kutoa mzingo coz umalaya for somethings hawa ndio wake za watu wameolewa lakin wanatoa mzingo kwa watu wengine, mfano kazini unakuta mkeo wa mtu anajipeleka kwa maboss ili hapewe cheo,maboss wanakula wake za watu sana.
Lakin huyu malaya wa kutoa mzingo kwa starehe anawezekano mkubwa wa kutulia anapoholewa.
Bora huyu wa starehe anaweza tulia lakin huyu wa after somethings kutulia ngumu maboss watakula mpka basi
Hahahah.. wanatofautiana.sasa mkuu wanawake wote wanaangukia kwenye moja ya hizo aina sidhani kama unawatendea haki