Aina 10 za wanawake wanaopendwa na wanaume

Aina 10 za wanawake wanaopendwa na wanaume

Wanaume wengi sasa hawajui wanachokitaka!
Unaweza ukawa na sifa zote hizo na wasikutake kisa huna Chura,

sasa rubii, mbona chura kazi rahisi tu kuwa naye? Unashindwa kuwa na kabwawa kadogo, uwafuge wa kutosha? Nini kujipa tabu mama

au mzee mwenzangu Asprin unasemaje
 
sasa rubii, mbona chura kazi rahisi tu kuwa naye? Unashindwa kuwa na kabwawa kadogo, uwafuge wa kutosha? Nini kujipa tabu mama

au mzee mwenzangu Asprin unasemaje
Au mwambie asubirie kipindi cha masika, asogee pale Jangwani kwenu.

Hakika atajaaliwa kuwa na chura aliyetukuka.
 
Wanaume wengi sasa hawajui wanachokitaka!
Unaweza ukawa na sifa zote hizo na wasikutake kisa huna Chura,

[HASHTAG]#rubii[/HASHTAG],
Njoo Mama hata kama una umbo la kama karatasi au nyoka. Nakupenda baby girl.
 
Wanaume wa Tanzania au wanaume wa wapi?

Maana msije kukopi kwenye vijarida vya watu halafu mkatafsiri Kiswahili halafu mkawabandika wanamume wa Tanzania tabia zisizo zao bureee.

Ukianza na sababu ya kwanza tu, mwanamke mwenye msimamo ni tatizo katika jamii ya Tanzania.

Labda kama msimamo wake ni kumpenda mwanamme na kumsikiliza kwa kila kitu.
Chukua like mkuu, nilivyoisoma hii nikahisi itakuwa imelenga jamii tofauti na hii yetu ya kitanzania. Nikaona anatoa credits kwa mtu mwingine ambae ndio inaonekana ndio muandaa makala. Hivyo yawezekana walicopy hiyo kutoka mahali wakatafsiri.
 
Back
Top Bottom