Yuko wapi HAMY-D na thread yake ya uwongo?
na pia kuna uwezekano mkubwa kwanba simba hawakujua what was the motive behind....
Simba nao si wajinga
Hizo gharama za kuileta Simba angwekeza kwenye madawati, madawa hospital na maji kwa wanana Ilamba si wangemuona wamaana sasa yeye anajifanya wa maana kwa mambo ambayo sio hitaji la wananchi kwali cccccm wamefirisika kisiasa na ki priorities. VIVA CDM
Dr. Kitila,
Nlipata shida sana baada ya kupata taarifa ya ujio wa Simba. Hofu yangu ilitokana na ukaribu kutoka uwanja ambapo mechi imechezwa na pahala ambapo tuliandaa mkutano. Cha ajabu, Mkutano umemalizika hata kabla ya mechi kuanza kutokana na gari ya Simba kupata hitilafu.
Wananchi wa Iramba wamefanya maamuzi sahihi leo, wamechagua Jembe na mfuko wa mbegu badala ya Sinema ya maigizo..
ni kweli kamanda wangu!! Siasa za majitaka hizo!Wangekataa hela kamanda; wapo kikazi zaidi. Siasa za kishamba kabisa. Ni vigumu kuwaghilibi wananchi wa leo ambao njia za kupata taarifa zipo kibao.
Amerudi ''news room'' kulishwa pumba ili aje kuzimwaga hapa JF!
Nao simba nawalaumu kwa kukubali mwaliko wa kijinga kama huo.
Mbona watu wenyewe kiduchu namna hii
Amerudi ''news room'' kulishwa pumba ili aje kuzimwaga hapa JF!