Aibu ya mwaka kwa Mwigulu

Aibu ya mwaka kwa Mwigulu

Status
Not open for further replies.
Yanga dau lake lilikuwa kubwa sana ikabidi awachukue Simba.. Siasa za kizamani sana hizi..
 
Ndugu zangu wana JF,
Kama ilivoelekezwa hapo awali, Katibu mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Dr. Wilbroad Slaa anaendelea na ziara yake nchini. Leo hii, Dr. Wilbroad Slaa akiambatana na ujumbe wake wameanza ziara ya kichama Mkoani Singida. Awali, Dr. Slaa alipanga kufanya mkutano Kiomboi leo jioni. Hata hivyo, katika hali isiyo ya kawaida, Mbunge wa Iramba magharibi, Mwigulu Nchema aliialika timu ya Simba kucheza na timu ya Kiomboi bila kiingilio. Hii ilikuwa ni strategy ya makusudi ya kupunguza mahudhurio katika mkutano wa CHADEMA. Lakini pamoja na mbinu hiyo mufilisi, mkutano wa CHADEMA ulioanza majira ya saa nane Mchana ulifurika kupita kawaida, na wananchi walibaki katika hali ya utulivu mpaka pale Dr. Slaa alipomaliza kuhutubia na kupanda Helikopta kuelekea Singida Mjini kwenye mkutano mwingine. Katika mechi hiyo ambayo ilichelewa sana kuanza kutokana na gari waliyokuwa wamepanda timu ya Simba kupata matatizo ya kiufundi njiani ambayo imemalizika hivi punde, Simba S.C ilifanikiwa kuwakung'uta mahasimu wao kwa mabao matatu pasipo majibu.

Ndugu yangu Mwigulu, siku baada ya siku mambo yanazidi kukuendea vibaya. Huoni umuhimu wa kujirekebisha na kutimiza majukumu yako ya kibunge? Hizi gharama za kuwaleta Simba S.C hapa Kiomboi zingeweza kuwaleta Kindai Shooters au Magic F.C kutoka pale Singida Mjini na bado zikatosha kuwasaidia wananchi wa Urughu pale wanaojifungulia majumbani mpaka leo kwa kukosa kituo cha afya.. Badala yake, ulijitafutia utukufu kwa kuileta Simba yenye jina na uwezo mkubwa, sio ili kuwaburudisha wananchi au ili kujipima kimchezo, bali ili uizuie CHADEMA.
Sina shaka mfululizo wa kushindwa kwako kutakufundisha jambo.
"Akili ndogo vs. Akili kubwa"..
Naomba kuwasilisha.

huo ndio uwezo wake kiakili sijui hata hao wapiga kura wake hawakuliona hilo,adhabu yake ahukumiwe 2015,yeye anajua kutukana tuu
 
Mwigulu nakushauri tumia akili na utashi wako! Wananchi wanaelemishwa kuhusu kuelewa na kisha kutoa maoni yao juu ya rasimu ya katiba, wewe unawavuruga, huu sio ustaarabu kaka. Chuki za kisiasa zisikufanye uka-act such "awkward". Kwa ushauri wangu, mi nadhani kwenye huo mkutano nawe ungetakiwa uhudhurie kama mwananchi wa kawaida ili uweze kutoa mchango wako juu ya rasimu ya katiba. Hii ingekusaidia kuliko kuwafanya wananchi waende eti kuangalia mpira ambao hauna manufaa yoyote kwa mustakabali wao na Tanzania yao!

Kwangu mimi, hii ni chuki ya wazi wazi kwa wapiga kura wako ambao hutaki kusikia wanaelimika kwa lolote. Na ujinga wao umekua mtaji wako kisiasa! Tufanye siasa zenye tija mkuu. Haya unayofanya yanadhalilisha taaluma yako na ubunge wako.
 
Kutoka ndani ya familia eti mwigulu ni kikojozi, make huwa analala sana, anakoloma na anaota ndoto za ajabu. si ajabu alilala ndoto zake zikamwelekeza ailete simba ili apunguze idadi ya watu kwenye mikutano ya CDM. Hatudanganyiki, peeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeepleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeees
 
Natangaza rasmi, kuanzia leo mimi sio mshabiki tena wa simba!
 
hiyo ni rasha2 tu masika yanakuja mjinga hawezi kuwa mbele ya werevu ....ilitokea tu wajinga wenzake wakamtanguliza mbele!
 
Hahahahaha..... jamaa (Mwigulu) hakuwa na namna zaidi jamani, msimcheke jamani... kwani hapo ndo upeo wake wa kufikiri umeishia!!! siasa za kitoto kabisa.
 
for sure this battle will never end is just a matter of strategies to win over the game that is played
 
simba ni timu yangu kuna watu wawili pale simba rage na jamhuri kiwelu jamaa wana akili ndogo sana, jamhuri aliwahi kuapa anaweza kumpa 0713 kajumulo ili apate hela, ilikuwa kwenye viwanja vya UFI wakati anasimamia mazoezi ya timu ya kajumlo.
 
simba ni timu yangu kuna watu wawili pale simba rage na jamhuri kiwelu jamaa wana akili ndogo sana, jamhuri aliwahi kuapa anaweza kumpa 0713 kajumulo ili apate hela, ilikuwa kwenye viwanja vya UFI wakati anasimamia mazoezi ya timu ya kajumlo.

Jamuhuri kichwani ni mweupee peeee kama mwigulu.
 
Ndugu zangu wana JF,
Kama ilivoelekezwa hapo awali, Katibu mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Dr. Wilbroad Slaa anaendelea na ziara yake nchini. Leo hii, Dr. Wilbroad Slaa akiambatana na ujumbe wake wameanza ziara ya kichama Mkoani Singida. Awali, Dr. Slaa alipanga kufanya mkutano Kiomboi leo jioni. Hata hivyo, katika hali isiyo ya kawaida, Mbunge wa Iramba magharibi, Mwigulu Nchema aliialika timu ya Simba kucheza na timu ya Kiomboi bila kiingilio. Hii ilikuwa ni strategy ya makusudi ya kupunguza mahudhurio katika mkutano wa CHADEMA. Lakini pamoja na mbinu hiyo mufilisi, mkutano wa CHADEMA ulioanza majira ya saa nane Mchana ulifurika kupita kawaida, na wananchi walibaki katika hali ya utulivu mpaka pale Dr. Slaa alipomaliza kuhutubia na kupanda Helikopta kuelekea Singida Mjini kwenye mkutano mwingine. Katika mechi hiyo ambayo ilichelewa sana kuanza kutokana na gari waliyokuwa wamepanda timu ya Simba kupata matatizo ya kiufundi njiani ambayo imemalizika hivi punde, Simba S.C ilifanikiwa kuwakung'uta mahasimu wao kwa mabao matatu pasipo majibu.

Ndugu yangu Mwigulu, siku baada ya siku mambo yanazidi kukuendea vibaya. Huoni umuhimu wa kujirekebisha na kutimiza majukumu yako ya kibunge? Hizi gharama za kuwaleta Simba S.C hapa Kiomboi zingeweza kuwaleta Kindai Shooters au Magic F.C kutoka pale Singida Mjini na bado zikatosha kuwasaidia wananchi wa Urughu pale wanaojifungulia majumbani mpaka leo kwa kukosa kituo cha afya.. Badala yake, ulijitafutia utukufu kwa kuileta Simba yenye jina na uwezo mkubwa, sio ili kuwaburudisha wananchi au ili kujipima kimchezo, bali ili uizuie CHADEMA.
Sina shaka mfululizo wa kushindwa kwako kutakufundisha jambo.
"Akili ndogo vs. Akili kubwa"..
Naomba kuwasilisha.




Watu wengi wanalalamika humu kuwa mpira wa Tanzania si mpira bali mazingaombwe. Wewe unafikiri nani mwenye akili timamu atakaekwenda kuangalia wasanii badala ya rais mtarajiwa? CCM haina mpango na ndiyo maana strategy zao ni za kijinga. Usikute ni Kikwete ndiye aliyemwambia afanye hivi. Sasa kama rais tu anakuwa na akili finyu kihivi, unafikiri nchi ataiendeshaje?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom