Aibu ya mwaka kwa Mwigulu

Aibu ya mwaka kwa Mwigulu

Status
Not open for further replies.
Ndugu zangu
wana JF,
Kama ilivoelekezwa hapo awali, Katibu mkuu wa Chama Cha Demokrasia na
Maendeleo Dr. Wilbroad Slaa anaendelea na ziara yake nchini. Leo hii,
Dr. Wilbroad Slaa akiambatana na ujumbe wake wameanza ziara ya kichama
Mkoani Singida. Awali, Dr. Slaa alipanga kufanya mkutano Kiomboi leo
jioni. Hata hivyo, katika hali isiyo ya kawaida, Mbunge wa Iramba
magharibi, Mwigulu Nchema aliialika timu ya Simba kucheza na timu ya
Kiomboi bila kiingilio. Hii ilikuwa ni strategy ya makusudi ya kupunguza
mahudhurio katika mkutano wa CHADEMA. Lakini pamoja na mbinu hiyo
mufilisi, mkutano wa CHADEMA ulioanza majira ya saa nane Mchana
ulifurika kupita kawaida, na wananchi walibaki katika hali ya utulivu
mpaka pale Dr. Slaa alipomaliza kuhutubia na kupanda Helikopta kuelekea
Singida Mjini kwenye mkutano mwingine. Katika mechi hiyo ambayo
ilichelewa sana kuanza kutokana na gari waliyokuwa wamepanda timu ya
Simba kupata matatizo ya kiufundi njiani ambayo imemalizika hivi punde,
Simba S.C ilifanikiwa kuwakung'uta mahasimu wao kwa mabao matatu pasipo
majibu.

Ndugu yangu Mwigulu, siku baada ya siku mambo yanazidi kukuendea vibaya.
Huoni umuhimu wa kujirekebisha na kutimiza majukumu yako ya kibunge?
Hizi gharama za kuwaleta Simba S.C hapa Kiomboi zingeweza kuwaleta
Kindai Shooters au Magic F.C kutoka pale Singida Mjini na bado zikatosha
kuwasaidia wananchi wa Urughu pale wanaojifungulia majumbani mpaka leo
kwa kukosa kituo cha afya.. Badala yake, ulijitafutia utukufu kwa
kuileta Simba yenye jina na uwezo mkubwa, sio ili kuwaburudisha wananchi
au ili kujipima kimchezo, bali ili uizuie CHADEMA.
Sina shaka mfululizo wa kushindwa kwako kutakufundisha jambo.
"Akili ndogo vs. Akili kubwa"..
Naomba kuwasilisha.

Binafsi mkuu nilikuwepo pia huyu mwigulu ni mtu wa ajabu sana, Pamoja na kusomba watu na malori Ndago, Kiteka na Shilui haikumsadia sana katika hilo.
 
Kwa akili zenu za kibavicha mnataka shughuri zote za kiuchumi zisimame kwa sababu kiongozi wetu wa chama anahutubia watu wa eneo fulani nchini.

By the way, who is slaa katika nchi hii mpaka shughuri za kiuchumi zisimame.

Mnafahamu ni lini mipango ya timu ya simba kucheza ilifanyika na makubaliano yakawepo na pia ni lini mipango ya kiongozi wa CHADEMA ilifanyika ili kuhutubia eneo hilo.

Halafu ni kuwadharau wananchi kama vile hawafahamu priority zao kimaisha mnapotaka waende kwenye outdated CHADEMA public rally.

Siasa za kilaghai hazina nafasi katika ukweli.

Keep on crying baby
 
rage na mwigulu akili zao zinafanana,wote mambulula
 
Kwa akili zenu za kibavicha mnataka shughuri zote za kiuchumi zisimame kwa sababu kiongozi wetu wa chama anahutubia watu wa eneo fulani nchini.

By the way, who is slaa katika nchi hii mpaka shughuri za kiuchumi zisimame.

Mnafahamu ni lini mipango ya timu ya simba kucheza ilifanyika na makubaliano yakawepo na pia ni lini mipango ya kiongozi wa CHADEMA ilifanyika ili kuhutubia eneo hilo.

Halafu ni kuwadharau wananchi kama vile hawafahamu priority zao kimaisha mnapotaka waende kwenye outdated CHADEMA public rally.

Siasa za kilaghai hazina nafasi katika ukweli.

Keep on crying baby
umeongea kwa unyonge sana hadi huruma jamani.
 
Pamoja na hujuma zote alizofanya mwigulu kujaribu kuvuruga mkutano wa chadema ambao kimsingi ulikua wa maana sana kwa wananchi wa jimbo lake (iramba magharibi)...amejiaibisha mno na kujishusha kisiasa sana. wananchi wamehudhuria mkutano na bado baadhi wamekwenda kuangalia mechi ya bure kati ya simba na timu ya iramba. kitendo cha kuwarubuni wachezaji wa iramba kwenda kuipokea simba na maandamano kinaonyesha ufinyu wa akili wa mbunge huyu kijana. Hata hivyo nimefurahishwa sana na baadhi ya askari wa kituo cha kiomboi kuyazima maandamano hayo ambayo kimsingi nayaona hayakua na kibali bali ni vurugu za mbunge huyu anayae vuruga jimbo lake mwenyewe. Namshauri mwigulu apunguze mapepe,tena akumbuke pale kitongoji cha ndago alisababisha nini.Sitaki niende mbali sana.ILA JANJA YA NYANI WANA IRAMBA SASA WANAONA-HAKUNA WAKUMDANGANYA NA PIPI. Watapokea pipi na kura hazipati tena.
 
Hammy D njoo ujibu, ulikuwa wa kwanza kusema Dr. Kasusiwa huko Kiomboi. Rudi sasa useme jambo
 
Nao simba nawalaumu kwa kukubali mwaliko wa kijinga kama huo.

Huyo M/Kiti wa hiyo Simba si akili yake ni sawa na ya Mwigulu tu! Kesho kutwa utasikia Simba wapo Tabora kisa CHADEMA nao wako Tabora. Siasa kila mahali huku wenye Club wakiwa hawana la kusema zaidi ya kugawiwa vijipesa vya kuomba.
 
This is extremely amusing. Wewe unafahamu vipi kama ID iko ONLINE siku 7 masaa 24 kama na wewe ya kwako haiko 7/24
Inakuhusu nini? Hukubali soma na kusepa.. Kama nilivyokuona una UGONJWA wa BAVICHA unakesha mitandaoni kushambulia bavicha mchana kutwa usiku kucha. bangi tupu!
 
Inakuhusu nini? Inakukureketa nini?
Ina maana JF kuna masaa inafungwa?
attachment.php


Haikuhusu sepa.. Unachangia nini?

Ona mpasuko huo.. magamba yanapasuka.
 
This is too cheap,jamaa anafanya siasa za kishamba kweli..simba nao wamechemka vibaya.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom