Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,280
Lakini Huyu si anakula kwa urefu wa kamba yake tu!Angekuwa Chadema ungesikia polisi wambambikia kesi kiongozi wa Chadema
Chadema akili zao wanaxijua wenyewe zilikogeukia
Lakini Huyu si anakula kwa urefu wa kamba yake tu!Angekuwa Chadema ungesikia polisi wambambikia kesi kiongozi wa Chadema
Chadema akili zao wanaxijua wenyewe zilikogeukia
Chama cha majambazi.. Kila mrefu anakula mbuzi kwa kamba yakeView attachment 2095009
Mh Ally Kipendaroho ni miongoni mwa Wenyeviti wa serikali za mitaa waliopita bila kupingwa , kwenye uchaguzi uliosimamiwa kikamilifu na aliyekuwa Waziri wa Tamisemi Mtukufu Jaffo mwaka 2019 kutokea kijiji cha Torori , kata ya Chang'ombe , Wilayani Temeke.
Ni siku kadhaa sasa zimepita kwa Kipendaroho kuwa selo ya Polisi Chang'ombe kwa TUHUMA ZA KUVUNJA MAGODOWN , Upelelezi juu ya jambo hili ungali unaendelea.
Kijiji cha Torori ni miongoni mwa vijiji vichache sana vilivyobarikiwa kuwa na uwekezaji mkubwa wa viwanda , hivyo kuwa na Maghala mengi ya kuhifadhia bidhaa, huku kikizungukwa na familia nyingi duni zinazozalisha vijana wengi vibaka , wezi na walevi kupindukia.
Sawa bhana.View attachment 2095009
Mh Ally Kipendaroho ni miongoni mwa Wenyeviti wa serikali za mitaa waliopita bila kupingwa , kwenye uchaguzi uliosimamiwa kikamilifu na aliyekuwa Waziri wa Tamisemi Mtukufu Jaffo mwaka 2019 kutokea kijiji cha Torori , kata ya Chang'ombe , Wilayani Temeke.
Ni siku kadhaa sasa zimepita kwa Kipendaroho kuwa selo ya Polisi Chang'ombe kwa TUHUMA ZA KUVUNJA MAGODOWN , Upelelezi juu ya jambo hili ungali unaendelea.
Kijiji cha Torori ni miongoni mwa vijiji vichache sana vilivyobarikiwa kuwa na uwekezaji mkubwa wa viwanda , hivyo kuwa na Maghala mengi ya kuhifadhia bidhaa, huku kikizungukwa na familia nyingi duni zinazozalisha vijana wengi vibaka , wezi na walevi kupindukia.
Ally kipenda roho.View attachment 2095009
Mh Ally Kipendaroho ni miongoni mwa Wenyeviti wa serikali za mitaa waliopita bila kupingwa , kwenye uchaguzi uliosimamiwa kikamilifu na aliyekuwa Waziri wa Tamisemi Mtukufu Jaffo mwaka 2019 kutokea kijiji cha Torori , kata ya Chang'ombe , Wilayani Temeke.
Ni siku kadhaa sasa zimepita kwa Kipendaroho kuwa selo ya Polisi Chang'ombe kwa TUHUMA ZA KUVUNJA MAGODOWN , Upelelezi juu ya jambo hili ungali unaendelea.
Kijiji cha Torori ni miongoni mwa vijiji vichache sana vilivyobarikiwa kuwa na uwekezaji mkubwa wa viwanda , hivyo kuwa na Maghala mengi ya kuhifadhia bidhaa, huku kikizungukwa na familia nyingi duni zinazozalisha vijana wengi vibaka , wezi na walevi kupindukia.
Uraia darasa la 3
Mamlaka za miji manispaa majiji hakuna vijiji bal kuna mitaa kata tarafa na kuendelea
Temeke n manispaa tololi n mtaa chama langu la mpira hapo linaitwa KEKO TOLOLI
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Afu handsome yaan.kipendaroho ana uso/ngozi nyororoo
Mbona huyu alikuwa ChademaView attachment 2095009
Mh Ally Kipendaroho ni miongoni mwa Wenyeviti wa serikali za mitaa waliopita bila kupingwa , kwenye uchaguzi uliosimamiwa kikamilifu na aliyekuwa Waziri wa Tamisemi Mtukufu Jaffo mwaka 2019 kutokea kijiji cha Torori , kata ya Chang'ombe , Wilayani Temeke.
Ni siku kadhaa sasa zimepita kwa Kipendaroho kuwa selo ya Polisi Chang'ombe kwa TUHUMA ZA KUVUNJA MAGODOWN , Upelelezi juu ya jambo hili ungali unaendelea.
Kijiji cha Torori ni miongoni mwa vijiji vichache sana vilivyobarikiwa kuwa na uwekezaji mkubwa wa viwanda , hivyo kuwa na Maghala mengi ya kuhifadhia bidhaa, huku kikizungukwa na familia nyingi duni zinazozalisha vijana wengi vibaka , wezi na walevi kupindukia.
Jikite kwenye madaAngekuwa Chadema ungesikia polisi wambambikia kesi kiongozi wa Chadema
Chadema akili zao wanaxijua wenyewe zilikogeukia
Chama cha majambazi.. Kila mrefu anakula mbuzi kwa kamba yake
... muacheni kipenda roho ajilie pweza mbichi!Kipendaroho asiwe mwizi?
Kwahiyo ?Mbona huyu alikuwa Chadema
HIYO NI TAMAA YAKE BINAFSI SASA UNAISHABIKIAJE HAPA JUKWAANI KISHABIKI KAMA VILE CCM NDIYO WOTE WEZI?View attachment 2095009
Mh Ally Kipendaroho ni miongoni mwa Wenyeviti wa serikali za mitaa waliopita bila kupingwa , kwenye uchaguzi uliosimamiwa kikamilifu na aliyekuwa Waziri wa Tamisemi Mtukufu Jaffo mwaka 2019 kutokea kijiji cha Torori , kata ya Chang'ombe , Wilayani Temeke.
Ni siku kadhaa sasa zimepita kwa Kipendaroho kuwa selo ya Polisi Chang'ombe kwa TUHUMA ZA KUVUNJA MAGODOWN , Upelelezi juu ya jambo hili ungali unaendelea.
Kijiji cha Torori ni miongoni mwa vijiji vichache sana vilivyobarikiwa kuwa na uwekezaji mkubwa wa viwanda , hivyo kuwa na Maghala mengi ya kuhifadhia bidhaa, huku kikizungukwa na familia nyingi duni zinazozalisha vijana wengi vibaka , wezi na walevi kupindukia.
Sasa si chadema ilikufa zama za JPM yaani haipo kwahiyo huyo atakuwa CCM.Mbona huyu alikuwa Chadema
Hawa ndio wanatusumbua humu na viposti vya kipuuziView attachment 2095009
Mh Ally Kipendaroho ni miongoni mwa Wenyeviti wa serikali za mitaa waliopita bila kupingwa , kwenye uchaguzi uliosimamiwa kikamilifu na aliyekuwa Waziri wa Tamisemi Mtukufu Jaffo mwaka 2019 kutokea kijiji cha Torori , kata ya Chang'ombe , Wilayani Temeke.
Ni siku kadhaa sasa zimepita kwa Kipendaroho kuwa selo ya Polisi Chang'ombe kwa TUHUMA ZA KUVUNJA MAGODOWN , Upelelezi juu ya jambo hili ungali unaendelea.
Kijiji cha Torori ni miongoni mwa vijiji vichache sana vilivyobarikiwa kuwa na uwekezaji mkubwa wa viwanda , hivyo kuwa na Maghala mengi ya kuhifadhia bidhaa, huku kikizungukwa na familia nyingi duni zinazozalisha vijana wengi vibaka , wezi na walevi kupindukia.
Au ndiyo maana mheshimiwa alizawadiwa shahada ya uzamivu pale UDOM kutokana na kazi yake ya kutukuka ndani ya CCM ya kufanikisha ushindi wa kishindo kwa chama chake, katika ule uchafuzi wa mwaka 2019.View attachment 2095009
Mh Ally Kipendaroho ni miongoni mwa Wenyeviti wa serikali za mitaa waliopita bila kupingwa , kwenye uchaguzi uliosimamiwa kikamilifu na aliyekuwa Waziri wa Tamisemi Mtukufu Jaffo mwaka 2019 kutokea kijiji cha Torori , kata ya Chang'ombe , Wilayani Temeke.
Ni siku kadhaa sasa zimepita kwa Kipendaroho kuwa selo ya Polisi Chang'ombe kwa TUHUMA ZA KUVUNJA MAGODOWN , Upelelezi juu ya jambo hili ungali unaendelea.
Kijiji cha Torori ni miongoni mwa vijiji vichache sana vilivyobarikiwa kuwa na uwekezaji mkubwa wa viwanda , hivyo kuwa na Maghala mengi ya kuhifadhia bidhaa, huku kikizungukwa na familia nyingi duni zinazozalisha vijana wengi vibaka , wezi na walevi kupindukia.
CCM ni Chama changu ila kuna shida.Viongozi walio wengi CCM ni wale waliopata mali kwa njia haramu na hatimaye kuzitakatisha kwa kutumia siasa.Mali hizi haramu zimewapatia umaarufu na hivyo kupeta katika chaguzi mbali mbali,na wakati mwingine hata kutumia mali hizo hizo haramu kununua wapiga kura na hata nafasi mbali mbali za uteuzi.No wonder CCM uaminifu na weledi is far fetched.Mfumo huo lazima ufumuliwe,vinginevyo CCM itabaki kuwa kichekesho kwa Watanzania intelligent na makini.View attachment 2095009
Mh Ally Kipendaroho ni miongoni mwa Wenyeviti wa serikali za mitaa waliopita bila kupingwa , kwenye uchaguzi uliosimamiwa kikamilifu na aliyekuwa Waziri wa Tamisemi Mtukufu Jaffo mwaka 2019 kutokea kijiji cha Torori , kata ya Chang'ombe , Wilayani Temeke.
Ni siku kadhaa sasa zimepita kwa Kipendaroho kuwa selo ya Polisi Chang'ombe kwa TUHUMA ZA KUVUNJA MAGODOWN , Upelelezi juu ya jambo hili ungali unaendelea.
Kijiji cha Torori ni miongoni mwa vijiji vichache sana vilivyobarikiwa kuwa na uwekezaji mkubwa wa viwanda , hivyo kuwa na Maghala mengi ya kuhifadhia bidhaa, huku kikizungukwa na familia nyingi duni zinazozalisha vijana wengi vibaka , wezi na walevi kupindukia.
Jpm alitaka iwe hivyo ili waibe.View attachment 2095009
Mh Ally Kipendaroho ni miongoni mwa Wenyeviti wa serikali za mitaa waliopita bila kupingwa , kwenye uchaguzi uliosimamiwa kikamilifu na aliyekuwa Waziri wa Tamisemi Mtukufu Jaffo mwaka 2019 kutokea kijiji cha Torori , kata ya Chang'ombe , Wilayani Temeke.
Ni siku kadhaa sasa zimepita kwa Kipendaroho kuwa selo ya Polisi Chang'ombe kwa TUHUMA ZA KUVUNJA MAGODOWN , Upelelezi juu ya jambo hili ungali unaendelea.
Kijiji cha Torori ni miongoni mwa vijiji vichache sana vilivyobarikiwa kuwa na uwekezaji mkubwa wa viwanda , hivyo kuwa na Maghala mengi ya kuhifadhia bidhaa, huku kikizungukwa na familia nyingi duni zinazozalisha vijana wengi vibaka , wezi na walevi kupindukia.