Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 3,804
- 8,797
Dar ina vijiji au haujui maana ya vijijiTemeke kuna kijiji? Au unaizungumzia wilaya ya temeke katika mkoa gani?
Dar ina vijiji au haujui maana ya vijijiTemeke kuna kijiji? Au unaizungumzia wilaya ya temeke katika mkoa gani?
Kipendaroho ula nyama mbichi akipenda amependa. CCM ni wezi.Kipendaroho asiwe mwizi?
Hapa nadhani anamaanisha mtaa. Mtaa huu hata Mimi naufahamu. Kuna nyumba duni kidogo ukizungukwa na viwanda na ma godown ya chang'ombe Wilayani Temeke.Temeke kuna kijiji? Au unaizungumzia wilaya ya temeke katika mkoa gani?
Mtaa. Kitongoji Ni vijijini.Neno sahihi ni kitongoji.
Nb, mkileta za kuleta nitafuta.
Uko ccm Hamna alie msafi. Wanatofautiana tu aina ya ujambawazi.CCM = Chama Cha Majambazi
Hii inahusika vipi hapa?HIYO NI TAMAA YAKE BINAFSI SASA UNAISHABIKIAJE HAPA JUKWAANI KISHABIKI KAMA VILE CCM NDIYO WOTE WEZI?
HEBU JIKUMBAUSHE HAPA JINSI ABUBAKAR ALIVYOUZA CHAMA NA NYIE MKASHANGILIA
View attachment 2095126
View attachment 2095127
Aliekuwa kwa usukanYupi?? Waziri au aliyekuwa kwa usukani.
Kijiji Cha Makumbuso, Makumbuso village pale opposite na Derm house.Dar ina vijiji au haujui maana ya vijiji