Aibu kubwa

Aibu kubwa

mamayeyo

Senior Member
Joined
Apr 4, 2012
Posts
167
Reaction score
138
Jana mchana wa saa 8 hivi niliona kituko na nikahisi aibu sana. Nilikuwa ndani ya posta ya Meru(Arusha) kwenye foleni ya dirisha la Western Union. Watu walikuwa wengi wakisubiri kuhudumiwa na wengi tulisimama kwani viti ni vichache. Nilipochoka kusimama nikatupa macho sehemu kwenye viti kama kuna upenyo nikae. Lahaula! Nilimwona kijana wa kiume wa Kiarika mwenye umri kati ya miaka 20-25 akiwa ameketi na mama mzee wa kizungu asiyepungua miaka 60. Uzee wa huyu bibi ulionekana wazi kwani hata ngozi yake ilikuwa imekunjamana na kupwaya. Mama huyo alikuwa amekumbatiwa na huyo kijana kwa mkono mmoja na mkono wa pili wa kijana ulikuwa busy akimkuna kuna bibi kizee yule na kumpapasa papasa kimapenzi. Bibi alikuwa ametulia tuli akionesha kuwa anafurahia zoezi la kijana. Kila mtu pale karibu yao alikuwa akiwatazama lakini kijana hakujali, alikuwa serious na kazi yake. Nilihisi aibu sana kwa sababu yule kijana alikuwa mtoto sana kwa yule bibi na pia niliogopa kuendelea kuwatazama kwa sababu nilihisi yule kijana ni mwanangu nikajikuta nataka nikamchape kibao aache ujinga ule. Mama wa kizungu akaitwa akachukue pesa dirishani. Wakapelekana akiwa bado kakumbatiwa. Mama alipokea pesa akampa mtoto akaziweka kibindoni, haooo wakaondoka wakisindikizwa na macho kama 50 hivi. Jamani! ndo nini hii? Mungu tuhurumie.
 
Mwenzio hapo anatengeneza pound toka kwa bibi chezea pesa wewe.
 
Ah wacha kijana ajilie kwa raha zake...wasichana full mizinga wacha tulelewe na vibibi....
 
Jana mchana wa saa 8 hivi niliona kituko na nikahisi aibu sana. Nilikuwa ndani ya posta ya Meru(Arusha) kwenye foleni ya dirisha la Western Union. Watu walikuwa wengi wakisubiri kuhudumiwa na wengi tulisimama kwani viti ni vichache. Nilipochoka kusimama nikatupa macho sehemu kwenye viti kama kuna upenyo nikae. Lahaula! Nilimwona kijana wa kiume wa Kiarika mwenye umri kati ya miaka 20-25 akiwa ameketi na mama mzee wa kizungu asiyepungua miaka 60. Uzee wa huyu bibi ulionekana wazi kwani hata ngozi yake ilikuwa imekunjamana na kupwaya. Mama huyo alikuwa amekumbatiwa na huyo kijana kwa mkono mmoja na mkono wa pili wa kijana ulikuwa busy akimkuna kuna bibi kizee yule na kumpapasa papasa kimapenzi. Bibi alikuwa ametulia tuli akionesha kuwa anafurahia zoezi la kijana. Kila mtu pale karibu yao alikuwa akiwatazama lakini kijana hakujali, alikuwa serious na kazi yake. Nilihisi aibu sana kwa sababu yule kijana alikuwa mtoto sana kwa yule bibi na pia niliogopa kuendelea kuwatazama kwa sababu nilihisi yule kijana ni mwanangu nikajikuta nataka nikamchape kibao aache ujinga ule. Mama wa kizungu akaitwa akachukue pesa dirishani. Wakapelekana akiwa bado kakumbatiwa. Mama alipokea pesa akampa mtoto akaziweka kibindoni, haooo wakaondoka wakisindikizwa na macho kama 50 hivi. Jamani! ndo nini hii? Mungu tuhurumie.

Macho 50 ni watu 25 tu ambao hawakatazi mtu ku rahatupika nakusaka dola, ndo maisha, tuzoee maana mabint wa bongo nao minato sana,
ILA MAADILI KWA SASA NI F, YATUBID KUOMBA
 
Utakuta kijana anakula mpaka jicho la 0713 taratiiiibu hana haraka akimwalakisha bibi majanga anaweza kufa kwa kushindwa kuadjust speed ya mapigo.
 
Hii ndo tz bwana.
Sasa hapo ulichoshangaa ni kipi???
Mi naona bonge la dili.
Yaani huyo kijana ana akili sana.
Mi mmoja nlimshuhudia ponara indiraghandi street ananunuliwa bonge la mcheni white gold na wa haja na bonge la kidani mama zikamtoka kama dola 1000 mi kuzihesabu sana noma
Mi na yule mkaka tukapeana ishara tukacheka ... Hao wakaondoka zao.
Baada ya kijana kuchagua.
Hio ndo inavyotakiwa siyo apoteze nguvu zake za bure.
We unamshangaa mwenzako anaendesha familia anategemewa.
Ha ha shikamoo mamayeyoo
 
Last edited by a moderator:
End of the world, refer SODOMA na GOMORA.
 
ah ah si kuna kale kamsemo age is nothing but a number...jamaa angekuwa analinawa janaume lenzie sawa...wanasema simba kula mtu ni habari ila mtu kula simba ni habari hatari chezea GIGALO aliyekula hii kitu:majani7:
 
usishangae......ndo wanaume wa siku hizi hao.....wanauza vikojoleo vyao kwa mijimama wa kizungu na kiafrica ili wapate pesa ya kutanua mujini.......


anyway si mnasema mapenzi hayachagui umri, rangi wala kabila????????
 
Hapo shida ni nini?
1. Utofauti wa umri
2. Kushikana kimahaba mbele ya kadamnasi

Mleta mada naona kama yote umeona ni kero lakini binafsi naona kwa habari ya umri hakuna shida yoyote...iweje mwanaume akiwa mkubwa ni sawa lakini si kwa mwanamke???
 
Kinachonikera nikuona vikongwe vya kizungu vikija tz na kutumegea dada zetu tena hawa wabichi kabisa hawa!

Tuliopo mitaa ya Posta Dar tunashuhudia mengi sana ya kibaazazi,

Yani utaweza kuona kibabu kikinyonya denda live binti tena stendi ya posta mpya pale au pale kwenye sanamu la bismini!



Lakini ndio hivyo pesa mwanaharamu! Achinjwa binadamu na pesa hutapakaa kwa damu lakini watu wataichukua na kwenda kutoa sadaka kanisa, nao hubarikiwa sawasawa na maombi yao!
 
Jana mchana wa saa 8 hivi niliona kituko na nikahisi aibu sana. Nilikuwa ndani ya posta ya Meru(Arusha) kwenye foleni ya dirisha la Western Union. Watu walikuwa wengi wakisubiri kuhudumiwa na wengi tulisimama kwani viti ni vichache. Nilipochoka kusimama nikatupa macho sehemu kwenye viti kama kuna upenyo nikae. Lahaula! Nilimwona kijana wa kiume wa Kiarika mwenye umri kati ya miaka 20-25 akiwa ameketi na mama mzee wa kizungu asiyepungua miaka 60. Uzee wa huyu bibi ulionekana wazi kwani hata ngozi yake ilikuwa imekunjamana na kupwaya. Mama huyo alikuwa amekumbatiwa na huyo kijana kwa mkono mmoja na mkono wa pili wa kijana ulikuwa busy akimkuna kuna bibi kizee yule na kumpapasa papasa kimapenzi. Bibi alikuwa ametulia tuli akionesha kuwa anafurahia zoezi la kijana. Kila mtu pale karibu yao alikuwa akiwatazama lakini kijana hakujali, alikuwa serious na kazi yake. Nilihisi aibu sana kwa sababu yule kijana alikuwa mtoto sana kwa yule bibi na pia niliogopa kuendelea kuwatazama kwa sababu nilihisi yule kijana ni mwanangu nikajikuta nataka nikamchape kibao aache ujinga ule. Mama wa kizungu akaitwa akachukue pesa dirishani. Wakapelekana akiwa bado kakumbatiwa. Mama alipokea pesa akampa mtoto akaziweka kibindoni, haooo wakaondoka wakisindikizwa na macho kama 50 hivi. Jamani! ndo nini hii? Mungu tuhurumie.
Umenikumbusha nigerian movie moja (white hunters), nilihuzunika, nikacheka sijui ni upendo kweli...
 
Kumbe na wewe unalelewa?

hahaha mie hiyo napenda...nyie dada zetu vijana full stress mara oh dear jamani shopping mara nini alafu papuchi unaenda megwa na mwengine....aku mie visichana namega na kusepa full love nitampa kibibi....vipi nasema? wataka kunilea nikupe love la ukweli na mgegedo wa kukukojolesha kikamilifu lol
 
Ngoja nisake mahela kwa bidii kabla uzee haujanikolea. Manake hali ni tete. Kuna shosti wangu ameolewa na kibabu hicho hadi aibu yaani!
 
Jana mchana wa saa 8 hivi niliona kituko na nikahisi aibu sana. Nilikuwa ndani ya posta ya Meru(Arusha) kwenye foleni ya dirisha la Western Union. Watu walikuwa wengi wakisubiri kuhudumiwa na wengi tulisimama kwani viti ni vichache. Nilipochoka kusimama nikatupa macho sehemu kwenye viti kama kuna upenyo nikae. Lahaula! Nilimwona kijana wa kiume wa Kiarika mwenye umri kati ya miaka 20-25 akiwa ameketi na mama mzee wa kizungu asiyepungua miaka 60. Uzee wa huyu bibi ulionekana wazi kwani hata ngozi yake ilikuwa imekunjamana na kupwaya. Mama huyo alikuwa amekumbatiwa na huyo kijana kwa mkono mmoja na mkono wa pili wa kijana ulikuwa busy akimkuna kuna bibi kizee yule na kumpapasa papasa kimapenzi. Bibi alikuwa ametulia tuli akionesha kuwa anafurahia zoezi la kijana. Kila mtu pale karibu yao alikuwa akiwatazama lakini kijana hakujali, alikuwa serious na kazi yake. Nilihisi aibu sana kwa sababu yule kijana alikuwa mtoto sana kwa yule bibi na pia niliogopa kuendelea kuwatazama kwa sababu nilihisi yule kijana ni mwanangu nikajikuta nataka nikamchape kibao aache ujinga ule. Mama wa kizungu akaitwa akachukue pesa dirishani. Wakapelekana akiwa bado kakumbatiwa. Mama alipokea pesa akampa mtoto akaziweka kibindoni, haooo wakaondoka wakisindikizwa na macho kama 50 hivi. Jamani! ndo nini hii? Mungu tuhurumie.

ahahaaaaaa kumbe wengi tumemshangaa huyu kijana....ni bounser pale Pin Point....Yaani ni full kioja...hizi njaa zitawaathiri vijana wanaopenda kubweteka mkuu
 
Back
Top Bottom