Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,672
- 167,738
Hivi katika siasa za Tanzania Juliana Shonza na Ester Wasira nani ni sisimizi?
Kulinganisha mlima na kichuguu, we nae utakuwa ni sisimizi....!!!!!!!!
Hivi katika siasa za Tanzania Juliana Shonza na Ester Wasira nani ni sisimizi?
miongoni mwa watu waliyorudisha kadi za chadema kutokana na ushawishii wa juliana ni huyu hapa kwenye picha. alikua mfanya kazi makao makuu. kwa ushahidi nenda makao makuu ukaulizie.
![]()
kama unataka picha za wengine naweza kukuwekea. wanachama 37 kutoka chadema walijiunga ccm pale goba. kuwaita sisimizi siyo sahihi. sasa hivi wanatembelea redio nyingi za fm. wamekua wakieleza ubadhirifu uliopo chdm makao makuu. wengine ni huyu hapa chini. walikua 37
![]()
SASA sikiliza...
Waambie hao ma CCM wako, wasitumie Polisi, TISS na vyombo vingine vya dola pia kuwe na tume huru ya uchaguzi hiku TBC ikitangaza habari za cdm kwa nafasi sawa kama za CCM...then twende kwenye uchaguzi wowote ule..pamoja na hao majiasi wenu mtaona!..
Sumbawanga hadi sasa mmeizuia tume ya uchaguzi kutanga jimbo kuwa wazi na kuitisha uchaguzi...vipi mnamsubiri Shonza aendekwanza akaeleze udini na ukabila wa Chadema!!?
miongoni mwa watu waliyorudisha kadi za chadema kutokana na ushawishii wa juliana ni huyu hapa kwenye picha. alikua mfanya kazi makao makuu. kwa ushahidi nenda makao makuu ukaulizie.
![]()
kama unataka picha za wengine naweza kukuwekea. wanachama 37 kutoka chadema walijiunga ccm pale goba. kuwaita sisimizi siyo sahihi. sasa hivi wanatembelea redio nyingi za fm. wamekua wakieleza ubadhirifu uliopo chdm makao makuu. wengine ni huyu hapa chini. walikua 37
![]()
Hao mbona ndo walewale tu. Sasa kama ni 37, fuatilia kazi ya Mawazo huko kanda ya ziwa ndo utajua moto wa CDM.
Hao mbona ndo walewale tu. Sasa kama ni 37, fuatilia kazi ya Mawazo huko kanda ya ziwa ndo utajua moto wa CDM.
Mkuu saronga, usaha huu kausema [MENTION][/MENTION]sramble...sio mimi! Sijui kafanyaje hadi imeonekana mie ndi nilie post ujinga wake huo!
SASA sikiliza...
Waambie hao ma CCM wako, wasitumie Polisi, TISS na vyombo vingine vya dola pia kuwe na tume huru ya uchaguzi hiku TBC ikitangaza habari za cdm kwa nafasi sawa kama za CCM...then twende kwenye uchaguzi wowote ule..pamoja na hao majiasi wenu mtaona!..
Sumbawanga hadi sasa mmeizuia tume ya uchaguzi kutanga jimbo kuwa wazi na kuitisha uchaguzi...vipi mnamsubiri Shonza aendekwanza akaeleze udini na ukabila wa Chadema!!?
sijasema mimi ni ccm. nilikua nakataa hoja ya mdee kuwaita hawa sisimizi. nimeshauri kuwadharau ni kosa. la mingi ni kubuni mikakati ya kuzima mambo wanayoyaenenza.
Msijipe moyo kwa kuwaita sisimizi, Mwampamba na Shonza wameipiga bull CHADEMA.
Sasa tunajua utapeli, wizi wa mali ya umma ni tabia ya watu popote wakikamata madaraka.
Katika LIST OF SHAME na Dr Slaa aongezeke.
Mbona tunapenda siasa nyepesi nyepesi sana, hivi CCM wataanguka kwa sababu tu eti wamewapokea wanachama kutoka CDM?
Mbona aliyeshambuliwa hapa na Mwampamba ni mtu mmoja tu, Dr Slaa.Naona unaendeleza tabia ile ile ya kumshambulia mtu tena mmoja Dr.Slaa. Walioko ccm na wanaojua mambo wamekaa kimya na kuwatumia ninyi kama dume kondomu
Naona unaendeleza tabia ile ile ya kumshambulia mtu tena mmoja Dr.Slaa. Walioko ccm na wanaojua mambo wamekaa kimya na kuwatumia ninyi kama dume kondomu
Hakuna mtu anaitwa Dr Slaa.Bali Padri Slaa unajua u
dokta wewe.Mtu asomee biblia mmwite Dr na pengo je?ehhh nakuuuliza wewe usiyojua maana ya Dr.
Mbona aliyeshambuliwa hapa na Mwampamba ni mtu mmoja tu, Dr Slaa.
Naye Dr KAKUBALI kujizolea 20 mil.
Sasa ukameruni wenu wa kufikiri kingono ngono sawa na katabia kalikokashinda katibu mkuu wenu ndio inawafikisha hapo.
Na mkuu chitambikwa inaelekea nawe una ka gay mentality, hadi kufikiri kikondom condom.
kwa iyo cdm hawafukuz tembo (zzk)? wanaofukuzwa n ccmiz tu
sijasema mimi ni ccm. nilikua nakataa hoja ya mdee kuwaita hawa sisimizi. nimeshauri kuwadharau ni kosa. la mingi ni kubuni mikakati ya kuzima mambo wanayoyaenenza.
Kuendelea kuimarisha Chama via M4C inasawazisha mambo!