Kumbe CHADEMA wanafukuza Sisimizi na Siafu wanaachwa? hizi siasa za kibongo bwana.
Kwa hadhi ya kamati kuu ya chama chochote ni aibu kubwa sana na inayoashiria kushuka kwa nyuzi 90 Kupokea wanachama wapya tena waliofukuzwa kwa usaliti na mienendo mibaya wasio na hata hadhi ya kupewa uenyekiti wa kitongoji kwa sababu ya utendaji wao.
Kitendo cha Nec -CCM kuwapokea hao sisimizi ( ) na tena mwishoni mwa kikao chao , kuwalipia hela nyingi ili wazunguke ya kuwa ni hazina kubwa kisiasa, kinaashiria hari mbaya kisiasa inayosindikiza kifo cha ccm.
'NEC lazima ipokee watu wa hadhi ya NEC, siyo hadhi ya tawi. Hapo wamepokea sisimizi siyo kwa wingi bali ukubwa, na kama uwezo wa NEC ya ccm ipo hivyo basi ..........................' Alisema Mdee Jmosi alipokuwa anahojiwa na kituo cha Redio moja
teh teh teh. nilidhani mimi peke yangu ndo siilewi kumbe tuko wengi.
Kwa hadhi ya kamati kuu ya chama chochote ni aibu kubwa sana na inayoashiria kushuka kwa nyuzi 90 Kupokea wanachama wapya tena waliofukuzwa kwa usaliti na mienendo mibaya wasio na hata hadhi ya kupewa uenyekiti wa kitongoji kwa sababu ya utendaji wao.
Kitendo cha Nec -CCM kuwapokea hao sisimizi ( ) na tena mwishoni mwa kikao chao , kuwalipia hela nyingi ili wazunguke ya kuwa ni hazina kubwa kisiasa, kinaashiria hari mbaya kisiasa inayosindikiza kifo cha ccm.
'NEC lazima ipokee watu wa hadhi ya NEC, siyo hadhi ya tawi. Hapo wamepokea sisimizi siyo kwa wingi bali ukubwa, na kama uwezo wa NEC ya ccm ipo hivyo basi ..........................' Alisema Mdee Jmosi alipokuwa anahojiwa na kituo cha Redio moja
mkuu hii habari wewe mwenyewe unaielewa lakini?embu rudia kuisoma
Kumbe CHADEMA wanafukuza Sisimizi na Siafu wanaachwa? hizi siasa za kibongo bwana.
Mbona tunapenda siasa nyepesi nyepesi sana, hivi CCM wataanguka kwa sababu tu eti wamewapokea wanachama kutoka CDM?
Hana lolote, kweli nyani haoni kundule, kina Ole milia na Mawazo, banange mbona walipokelwa na viongozi wakuu wa CDM, sema tu wivu wa kijinga, basi aende yeye mchwa atapokelewa ikuluKwa hadhi ya kamati kuu ya chama chochote ni aibu kubwa sana na inayoashiria kushuka kwa nyuzi 90 Kupokea wanachama wapya tena waliofukuzwa kwa usaliti na mienendo mibaya wasio na hata hadhi ya kupewa uenyekiti wa kitongoji kwa sababu ya utendaji wao.
Kitendo cha Nec -CCM kuwapokea hao sisimizi ( ) na tena mwishoni mwa kikao chao , kuwalipia hela nyingi ili wazunguke ya kuwa ni hazina kubwa kisiasa, kinaashiria hari mbaya kisiasa inayosindikiza kifo cha ccm.
'NEC lazima ipokee watu wa hadhi ya NEC, siyo hadhi ya tawi. Hapo wamepokea sisimizi siyo kwa wingi bali ukubwa, na kama uwezo wa NEC ya ccm ipo hivyo basi ..........................' Alisema Mdee Jmosi alipokuwa anahojiwa na kituo cha Redio moja
Tatizo lako whujataka kuelewa hiyo kauli katika hali ya kawaida, uchambuzi wako hauna umuhimu katika kauli hiyo..
Sisimizi imetumika kuonesha mtu ambaye hajakomaa kisiasa, tumia akili katika kuchambua kitu na sio kukurupuka.
1. Mwampamba hujui kama hesabu hizi zinakaguliwa? Hujui kuwa CAG anajua kila linaloendelea kuhusu fedha hizo za ruzuku?By Mtela Mwampamba![]()
![]()
6. Kwakua sheria ya uanzishwaji wa Ofisi ya Mkaguzi wa Hesabu za serikali inahusu ukaguzi wa fedha zote ambazo ni mali ya Umma, Naomba CAG aeleze watanzania kwanini hakagui hesabu za vyama vya siasa vinavyopata ruzuku kama anavyokagua Halmashauri za Wilaya na Manispaa au Mashirika ya Serikali?
Tunataka utaratibu wa ukaguzi kwa hesabu za ruzuku za vyama kama ilivyo kwa Halmashauri na mashirika. Ifike mahala tujue vyama vya siasa vinavyopata hati safi na chafu katika kutumia kodi zetu watanzania.
Mtela mwampamba
Tena Mwampamba unaonekana kuchemka: hujui kama matumizi ya vyama yanakaguliwa, na bado unataka kutusadikisha kuwa unajua mambo ya ndani kabisa ya CHADEMA wakati hili ndilo lingepaswa kuwa la kwanza kulijua.
Kama Shonza ni sisimizi je Ben atakua ni nini?
Kauli hii ya mdee inanipa funzo fulani, kwamba ndani ya CDM sisimizi hawana chao na wanachotakiwa kufanya ni mkiya kuufyata.
teh teh teh. nilidhani mimi peke yangu ndo siilewi kumbe tuko wengi.
yap, waliofukuzwa walikuwa na hadhi ya sisimizi tu, kwa sababu hata wewe umewajua baada ya rumasi za kufukuzwa, cha ajabu ndani ya chama chetu ndio wanaonekana ni majembe, "ganda la muwa la jana. . . . . ." malizia mkuu.Kumbe CHADEMA wanafukuza Sisimizi na Siafu wanaachwa? hizi siasa za kibongo bwana.
we mtu anajiita Mkristomwislamu​ sio unafiki tu huo.we ndugu ni mnafik, sijapata ona. Juu umesema umepata funzo, chini hujaelewa. Ptuuuu
Kwa hadhi ya kamati kuu ya chama chochote ni aibu kubwa sana na inayoashiria kushuka kwa nyuzi 90 Kupokea wanachama wapya tena waliofukuzwa kwa usaliti na mienendo mibaya wasio na hata hadhi ya kupewa uenyekiti wa kitongoji kwa sababu ya utendaji wao.
Kitendo cha Nec -CCM kuwapokea hao sisimizi ( ) na tena mwishoni mwa kikao chao , kuwalipia hela nyingi ili wazunguke ya kuwa ni hazina kubwa kisiasa, kinaashiria hari mbaya kisiasa inayosindikiza kifo cha ccm.
'NEC lazima ipokee watu wa hadhi ya NEC, siyo hadhi ya tawi. Hapo wamepokea sisimizi siyo kwa wingi bali ukubwa, na kama uwezo wa NEC ya ccm ipo hivyo basi ..........................' Alisema Mdee Jmosi alipokuwa anahojiwa na kituo cha Redio moja
Kwa hadhi ya kamati kuu ya chama chochote ni aibu kubwa sana na inayoashiria kushuka kwa nyuzi 90 Kupokea wanachama wapya tena waliofukuzwa kwa usaliti na mienendo mibaya wasio na hata hadhi ya kupewa uenyekiti wa kitongoji kwa sababu ya utendaji wao.
Kitendo cha Nec -CCM kuwapokea hao sisimizi ( ) na tena mwishoni mwa kikao chao , kuwalipia hela nyingi ili wazunguke ya kuwa ni hazina kubwa kisiasa, kinaashiria hari mbaya kisiasa inayosindikiza kifo cha ccm.
'NEC lazima ipokee watu wa hadhi ya NEC, siyo hadhi ya tawi. Hapo wamepokea sisimizi siyo kwa wingi bali ukubwa, na kama uwezo wa NEC ya ccm ipo hivyo basi ..........................' Alisema Mdee Jmosi alipokuwa anahojiwa na kituo cha Redio moja