kbosho
JF-Expert Member
- Jun 4, 2012
- 13,073
- 6,639
napenda mageuzi lkn simpendi slaa. msema ukweli ni mpenzi wa Mungu. huo ndiyo ukweli kutoka moyoni mwangu
sio kwa utendaji wake...basitu humpendi...chuk binafsi
napenda mageuzi lkn simpendi slaa. msema ukweli ni mpenzi wa Mungu. huo ndiyo ukweli kutoka moyoni mwangu
Join Date : 21st February 2013
Posts : 40
Rep Power : 309
Likes Received2
Likes Given0
What a shame,see your joining date na [posts] zako unaonesha muda wote umelipwa kujibu upuuzi huku kwenye JF,shame on your face na ujinga wenu wa kung'ang'ania kujicha,na nyama zilizochinjwa na wauwaji wa mapadre na wachungaji mtazila wenyewe
Obsession.....
another case of intellectual inferiority!
Unatakiwa kabla hujaanza kucomment uwe umeelewa hoja iliyo mbele yako. Hapa Mdee hamaanishi kama ulivyoamua kuliweka wewe, maana yake kulingana na itifaki, waliotimuliwa hawana hadhi ya kupokewa na NEC-CCM, Hiyo ni itifaki ya kisiasa.
Mambo ya CCM Mdee yanakuhusu nini ngoja Josephine akupige chini ndo utie akili
mdee mwenyewe ni kibaraka ndani ya cdm badala ya kujinyooshea kwanza yeye kidole anawanyoshea wengine.
Kwa hadhi ya kamati kuu ya chama chochote ni aibu kubwa sana na inayoashiria kushuka kwa nyuzi 90 Kupokea wanachama wapya tena waliofukuzwa kwa usaliti na mienendo mibaya wasio na hata hadhi ya kupewa uenyekiti wa kitongoji kwa sababu ya utendaji wao.
Kitendo cha Nec -CCM kuwapokea hao sisimizi ( ) na tena mwishoni mwa kikao chao , kuwalipia hela nyingi ili wazunguke ya kuwa ni hazina kubwa kisiasa, kinaashiria hari mbaya kisiasa inayosindikiza kifo cha ccm.
'NEC lazima ipokee watu wa hadhi ya NEC, siyo hadhi ya tawi. Hapo wamepokea sisimizi siyo kwa wingi bali ukubwa, na kama uwezo wa NEC ya ccm ipo hivyo basi ..........................' Alisema Mdee Jmosi alipokuwa anahojiwa na kituo cha Redio moja
Halima Mdee anaitaji utulivu wa nafsi "Mume"