Aibu kubwa NEC-CCM Kupokea Sisimizi: Mdee

Aibu kubwa NEC-CCM Kupokea Sisimizi: Mdee

Hana lolote, kweli nyani haoni kundule, kina Ole milia na Mawazo, banange mbona walipokelwa na viongozi wakuu wa CDM, sema tu wivu wa kijinga, basi aende yeye mchwa atapokelewa ikulu



utamlinganisha ole millya na mwampamba au shonza?
 
unaweza kumuita mtu sisimizi akakuzamisha. la msingi chadema ijipange kuhamasisha watu kujiunga na chama. kazi wanayo ifanya akina juliana kule ccm siyo ya kitoto!
23.jpg

26.jpg

10.jpg

32.jpg
 
Kwa hadhi ya kamati kuu ya chama chochote ni aibu kubwa sana na inayoashiria kushuka kwa nyuzi 90 Kupokea wanachama wapya tena waliofukuzwa kwa usaliti na mienendo mibaya wasio na hata hadhi ya kupewa uenyekiti wa kitongoji kwa sababu ya utendaji wao.

Kitendo cha Nec -CCM kuwapokea hao sisimizi ( ) na tena mwishoni mwa kikao chao , kuwalipia hela nyingi ili wazunguke ya kuwa ni hazina kubwa kisiasa, kinaashiria hari mbaya kisiasa inayosindikiza kifo cha ccm.

'NEC lazima ipokee watu wa hadhi ya NEC, siyo hadhi ya tawi. Hapo wamepokea sisimizi siyo kwa wingi bali ukubwa, na kama uwezo wa NEC ya ccm ipo hivyo basi ..........................' Alisema Mdee Jmosi alipokuwa anahojiwa na kituo cha Redio moja
Msijipe moyo kwa kuwaita sisimizi, Mwampamba na Shonza wameipiga bull CHADEMA.
Sasa tunajua utapeli, wizi wa mali ya umma ni tabia ya watu popote wakikamata madaraka.
Katika LIST OF SHAME na Dr Slaa aongezeke.
 
Nilivyoelewa mimi ni kwamba watu ambao wamefukuzwa cdm kwa utovu wa nidhamu, chama ambacho wanadai ni kichanga na watu hao wakachukuliwa na ccm chama kubwa kama wanavyojiita wenyewe na kuwaweka nec na kutumiwa sasa kuzunguka nchini kwa ajili ya kuidhoofisha cdm, maana ni kwamba ndani ya team ya ccm kulikuwa hakuna watu kama hawa? Kama ndio, basi ni kweli ccm imekwisha kabisa
 
Mgonjwa anapokaribia kufa ni kosa kubwa sana akiomba Uji ukampa!Utakuwa umeshiriki kumuwahisha kwa israel.
 
NEC ya CCM inatambua kuwa sisimizi uua tembo.
 
Wamezoea hao, hawana qualified people kwenye mtandao wao na ndio maana hata mawaziri huwa wanachukuliwa nje ya bunge na bado wanakuwa unqualified. Team zao zinaogopana kuwa hazijui na kweli hazijui
 
Anachojaribu kukiongea Mdee yupo sahihi hadhi ya hao wehu hailingani na nec kuwazungusha nchi nzima kunena upuuzi siombei kwa ubaya ila CCM injiani kufariki! Poleni kwa kuwa na siasa mchemko
 
unaweza kumuita mtu sisimizi akakuzamisha. la msingi chadema ijipange kuhamasisha watu kujiunga na chama. kazi wanayo ifanya akina juliana kule ccm siyo ya kitoto!
23.jpg

26.jpg

10.jpg

32.jpg
[/QUOT

Tumieni kichwa bwana, sasa hapo anawahutubia watu wenye sare za CCM tu....ina maana wote hao ni wanaCCM!
Ndio kazi hiyo ya kushawishi watu..au anawaburudisha tu makada wenye jukumu zito la kurudisha imani yao kwa watanzania iliopotea kabisa baada ya ufisadi kuongezeka nchini, udini kutuama Tanzania, umasikini kuweka makazi ya kudumu kwa wananchi!!

Hii kuwaambia wanamagamba kuwa eti Dr Slaa alinikonyeza haitaisaidia kabisa CCM!
 
Leo Halima Mdee anaipangia CCm cha kufanya! Asome vizuri katiba ya ccm na ajielekeze kwenye majukumu ya H/shauri kuu. Atakuwa amepata majibu. Pia anatakiwa kufahamu tofauti ya kikao cha NEC na mjumbe wa NEC. Unapokutana na kusalimiana na mjumbe wa NEC hujasalimiana na kikao cha NEC. Hivyo, mkusanyiko wa wajumbe kadhaa wa NEC hau-justify uhalali wa kikatiba (CCM) kuwa hicho ni kikao cha NEC. Mdee, ccm kuko vizuri ni bora ukaendelea kuwadanganya wafuasi wako wa cdm wanaofikiri kwa kutumia moyo badala ya kichwa.
Mmmh!!Mpo wengi mnakuja kwa fujo...nadhani zile i pad mlizogaiwa na pesa za bundle pale lumumba mzitumie kwa kutetea upuuzi wa masisiem,inshort vile virus tumevifukuza halafu vinapokelewa na kikwete,maajabu kweli kweli hivi huyu baba wa watu kwa nn hamumuonei huruma kila siku kumuingiza mkenge halafu mnakaa pembeni mnamcheka?
Masisie hamna jipya mmekwisha!!!
 
Hivi katika siasa za Tanzania Juliana Shonza na Ester Wasira nani ni sisimizi?
 
Leo Halima Mdee anaipangia CCm cha kufanya! Asome vizuri katiba ya ccm na ajielekeze kwenye majukumu ya H/shauri kuu. Atakuwa amepata majibu. Pia anatakiwa kufahamu tofauti ya kikao cha NEC na mjumbe wa NEC. Unapokutana na kusalimiana na mjumbe wa NEC hujasalimiana na kikao cha NEC. Hivyo, mkusanyiko wa wajumbe kadhaa wa NEC hau-justify uhalali wa kikatiba (CCM) kuwa hicho ni kikao cha NEC. Mdee, ccm kuko vizuri ni bora ukaendelea kuwadanganya wafuasi wako wa cdm wanaofikiri kwa kutumia moyo badala ya kichwa.

Si ni afadhali anayetumia moyo kufikiri kuliko yule atumiaye MAKALIO!!
 
unaweza kumuita mtu sisimizi akakuzamisha. la msingi chadema ijipange kuhamasisha watu kujiunga na chama. kazi wanayo ifanya akina juliana kule ccm siyo ya kitoto!
23.jpg

26.jpg

10.jpg

32.jpg
[/QUOT

Tumieni kichwa bwana, sasa hapo anawahutubia watu wenye sare za CCM tu....ina maana wote hao ni wanaCCM!
Ndio kazi hiyo ya kushawishi watu..au anawaburudisha tu makada wenye jukumu zito la kurudisha imani yao kwa watanzania iliopotea kabisa baada ya ufisadi kuongezeka nchini, udini kutuama Tanzania, umasikini kuweka makazi ya kudumu kwa wananchi!!

Hii kuwaambia wanamagamba kuwa eti Dr Slaa alinikonyeza haitaisaidia kabisa CCM!

miongoni mwa watu waliyorudisha kadi za chadema kutokana na ushawishii wa juliana ni huyu hapa kwenye picha. alikua mfanya kazi makao makuu. kwa ushahidi nenda makao makuu ukaulizie.
47.jpg

kama unataka picha za wengine naweza kukuwekea. wanachama 37 kutoka chadema walijiunga ccm pale goba. kuwaita sisimizi siyo sahihi. sasa hivi wanatembelea redio nyingi za fm. wamekua wakieleza ubadhirifu uliopo chdm makao makuu. wengine ni huyu hapa chini. walikua 37
47.jpg
 
Hivi katika siasa za Tanzania Juliana Shonza na Ester Wasira nani ni sisimizi?

Huyo Shonza ni mwanamke haswa, alichofanya sio Mdee wala Zito wanauwezo wa kukifanya na CDM wantambua ukweli huo. Na CCM itaendelea kuwatumia kuwaeleza vijana wenye mategemeo makubwa na kundi hilo la uhalifu.
 
Aende zake huko, yeye nani mpaka aiongelee NEC? anataka na yeye aamie? kumbe kana wivu wa kuingia CCM? kwanza ajiandae kufanya shughuli nyingine maana kawe tena basi, watu wanakachukia haka ka-Mdee kweli.

CCM tunavumbua wana siasa na kutumia uwezo wao haswa kukijenga chama, waacheni Shonza na Mtela wakijenge chama jamani.

Wewe lazima utakuwa na undugu na Londa au Makamba senior, manake hao ndo wameupata moto wa Halima jimboni Kawe sasa wana uchungu naye sana. Sasa basi kama mna uchungu nendeni Labor, hilo jimbo ndo mlisahahu kabisaaaaaaaa! manake baada ya mgombea wenu wa ubunge (Mbatia) kushindwa mmeamua kumpatia viti maalum.
 
Hana lolote, kweli nyani haoni kundule, kina Ole milia na Mawazo, banange mbona walipokelwa na viongozi wakuu wa CDM, sema tu wivu wa kijinga, basi aende yeye mchwa atapokelewa ikulu

Tofauti yao ni kwamba haya masalia mawili (Shombo na Mpambe) yalifukuzwa uanachama, wakati Mawazo (alikuwa Diwani wa maccm), Milya (mwenyekiti wa uvccm Mkoa) na huyo banange wote hawakuwahi kufukuzwa huko ccm, waliondoka wenyewe kwa ridhaa yao. Ndo maana huyu dada shombo alikuwa king'ang'anizi kuwa yeye ni Makam Mkiti Bavicha ili ionekane kuwa ameondoka mwenyewe CDM! basi alichelewa, sie ni wajanja tulimuwahi kabla hajajipatia umaarufu. Nafikiri sasa utauelewa utofauti kati ya makundi haya mawili, otherwise basi utakuwa miongoni mwa wale >60% wa Kawambwa na Mulugo (mzee wa Zimbabwe na Pemba)
 
Back
Top Bottom